Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

Kuna baadhi ya Magari yanasumbua ila mengine shida ni fedha ya kununulia Spea ni tatizo na mafundi wasiokuwa na utaalamu hupekekea kuharibu kabisa Gari.
 
Kwenye Toyota Prius sio kweli. Mimi naendesha Prius Hybrid ya mwaka 2011, mpaka leo ishatembea miles zaidi ya 200,000. Miles 10 ni km 16. Haina tatizo tazizo lolote, nakwenda nninapotaka. Full tank lita 40 ambazo zinanipa wastani miles 420.

Sasa sijui Prius ipi inayoisema wewe.
 
[emoji23] nimecheka sana mkuuu kiboko yao L 200 old model

L200 hipi hiyo, mbona mimi nina L200 Strada, engine 4D56 nina mwaka unaenda wa tisa huu na sina shida nayo kabisa?
 
Mbona sasa karibu magari yote yenye bei angalau nzuri yametajwa humu tutanunua lipi sasa noah au
 
Ohhhpppssss.....
Bahati njema, lakwangu halimo kwenye orodha
 
Mabovu kwa namna gani mbona watu wanayatumia na anaweza kaa nalo miaka na miaka halijamsumbua!! Kuna mshikaji ana hiyo Grand Cherokee hadi sasa ni mwaka wa 7 bado ngoma inadunda balaa.. Sasa najiuliza ni ubovu upi unaousemea?
Mkuu chorokee achana nayo unaweza lipark hata miaka miwili lkn ukija ukiwasha ni kiki moja na kama la petrol linatema maji tuu huko nyuma.utatumia miaka na miaka hufungui engine wala nini ww nikuongeza mji na kufanya servise
 
Kwenye Toyota Prius sio kweli. Mimi naendesha Prius Hybrid ya mwaka 2011, mpaka leo ishatembea miles zaidi ya 200,000. Miles 10 ni km 16. Haina tatizo tazizo lolote, nakwenda nninapotaka. Full tank lita 40 ambazo zinanipa wastani miles 420.

Sasa sijui Prius ipi inayoisema wewe.
Mkuu are you serious? Naona FC ipo vizuri, ni kama 1km = 16lt average. Shida tu nadhani yanauzwa ghali sana hayo magari.
 
L200 hipi hiyo, mbona mimi nina L200 Strada, engine 4D56 nina mwaka unaenda wa tisa huu na sina shida nayo kabisa?
Nina L 200 mkuu engine D 65 zile special oda za jeshi gar ina mwaka wa ishirini sasa sema lina nipa changamoto sana
 
Mabovu kwa namna gani mbona watu wanayatumia na anaweza kaa nalo miaka na miaka halijamsumbua!! Kuna mshikaji ana hiyo Grand Cherokee hadi sasa ni mwaka wa 7 bado ngoma inadunda balaa.. Sasa najiuliza ni ubovu upi unaousemea?
Mbovu siyo kama haitengenezeki bali uhimala wa gari, yana unaweza kuta gari inatembea lakin matatizo chungu zima au linakula elabkila siku kwa matengenezo, kutembea siyo maana ni uzima, watu wanatembea lakin ni wagonjwa mda wowote wanadondoka sembuse gari
 
Kwenye Toyota Prius sio kweli. Mimi naendesha Prius Hybrid ya mwaka 2011, mpaka leo ishatembea miles zaidi ya 200,000. Miles 10 ni km 16. Haina tatizo tazizo lolote, nakwenda nninapotaka. Full tank lita 40 ambazo zinanipa wastani miles 420.

Sasa sijui Prius ipi inayoisema wewe.
haya yako full electronics, mafundi wasiotumia computer hawayawezi kabisa, ndio maana wanalia lia mabovu.
 
Mkuu are you serious? Naona FC ipo vizuri, ni kama 1km = 16lt average. Shida tu nadhani yanauzwa ghali sana hayo magari.

9a54e6105363e704018eba747bdc16a4.jpg


Miles iliyotembea na bado inadai. Hizo 202886 miles ni 326513 km.

-----
 
Back
Top Bottom