Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli we std v, tehe tehe teheKuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguv zake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa na afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi kujiuguza
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani kwa kupeleka watu wengi makaburiniView attachment 830092
NB:
Mimi siyo daktari wala mtu wa kada ya afya maana niliishia darasa la 5 hivyo nimejitahidi tu kutumia lugha ya kitabibu ingawa naweza kuwa nimekosea hivyo ni jambo la kawaida tu
...................... .................................................
10/Malaria![]()
![]()
![]()
Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike aitwaye Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia ambayo ni ya kitropiki
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....watu wailiishia kuvulia kambale tu maana hakikueienea kitandani
Kama unaishi Dar na hujawahi kuugua malaria basi labda una seli mundu
Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka
?????Kwaheri Mzee Majuto ni ngumu kupambana na gonjwa lile......
Upo Vizuri ,hayo ndio magonjwa sugu na yamnayouwa duniani.
Umesahau Renal Failure Mkuu
jamaa hadi tattoo zimesinyaa.9/Kifua Kikuu
![]()
![]()
![]()
Aliyefananisha penzi na kikohonzi hayuo serious
Huu ugonjwa huenezwa na bacteria kwa njia ya hewa...huathiri zaidi mapafu lakini pia huweza kuenea hadi katika viungo zingine
Mgonjwa hupoteza uzito kwa kiwango kikubwa
Kuna uhusiano mkubwa kati ya Kifua Kikuu na mtu kuwa na VirusiVya Ukimwi
Husababisha vifo 1.4 Milioni kwa mwaka
Ni takwimu za leo mkuuMzee hizi takwimu za mwaka Gani??? Afu vifo vitokanavyo Na uzazi sio ugonjwa.
Asante kwa kutujuza.1/Ugonjwa wa Moyo![]()
Moyo ndo injini ya mwili na waswahili husema kazi ya moyo ni kusukuma damu ..kupenda ni kiherehere![]()
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababishwa na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua yule tajiri wa Yanga ila bwana yule na jamaa yake hawamwonei huruma wamekomaa tu na Mhindi wa watu na kufikia hatua kumpa kesi ya kubwia unga
Huua watu takribani milioni 7.2 kwa mwaka
.
.
................ ....................... ........... .. ...............
Baada ya kufuatilia nimegundua list ina upungufu kwa kutoutaja ugonjwa mmoja uitwao Kisukari ambao unatajwa kusababisha vifo vya watu takribabi 1.5 milioni kwa mwaka
Pia ugonjwa wa kisukari husababisha watu wengi kuisji na vilema kutoana na kukatwa miono au miiguu na viungo vingine kaa vile vidole
.........................................................................
.
.
.
.
.
Mwisho
The Bitoz
................