Yajue magonjwa kumi hatari zaidi duniani

Yajue magonjwa kumi hatari zaidi duniani

Kuna usemi kwamba afya ni uhai pia mtaji wa maskini ni nguv zake ikimaainisha afya njema huchangia mtu kuwa na maendeleo maana ukiwa na afya mgogoro basi utapoteza muda na pesa nyingi kujiuguza
Basi leo nawaletea magonjwa 10 hatari zaidi duniani kwa kupeleka watu wengi makaburiniView attachment 830092
NB:
Mimi siyo daktari wala mtu wa kada ya afya maana niliishia darasa la 5 hivyo nimejitahidi tu kutumia lugha ya kitabibu ingawa naweza kuwa nimekosea hivyo ni jambo la kawaida tu
...................... .................................................


10/Malaria
89def69c7699fa2385d1b874d9b55c57.jpg
c2ad3636cbde27518bcbdfe455b08fd5.jpg
210b4c44e68021eb5ddeda43623af06f.jpg

Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike aitwaye Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia ambayo ni ya kitropiki
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....watu wailiishia kuvulia kambale tu maana hakikueienea kitandani
Kama unaishi Dar na hujawahi kuugua malaria basi labda una seli mundu

Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka
Kweli we std v, tehe tehe tehe
 
?????
Umeniacha kwenye Mataa.
Rudia kusoma gonjwa kwa gonjwa na neno kwa neno utaelewa vizuri tu mkuu nililitaja kabla hajafa ila kwa sasa siwezi kuzungumzia sababu kimaadili kwa wakati huu sio vizuri
 
Kweli we std v, tehe tehe tehe
Msingi wa elimu ni kujua kusoma,kuandika na kuhesabu

Hivyo elimu yangu ya STD V imenitosha kabisa kupambanua mambo
 
Upo Vizuri ,hayo ndio magonjwa sugu na yamnayouwa duniani.

Umesahau Renal Failure Mkuu
 
Upo Vizuri ,hayo ndio magonjwa sugu na yamnayouwa duniani.


Umesahau Renal Failure Mkuu

Sawa mkuu
Ni vigumu kutaja yote maana lengo ni kukumbushia tu watu kukaa chonjo na hayo magonhwa

Kama ulivyoona pia nilisahau kulipa uzito gonjwa hatari la Kisukari
 
Mzee hizi takwimu za mwaka Gani??? Afu vifo vitokanavyo Na uzazi sio ugonjwa.
 
9/Kifua Kikuu
f425f37e59ab36d35f202df87d1beb01.jpg
0a355dd8ef402d74feb31c9c03cfefa2.jpg
667c9d03c3bfac5f880bd49bc3575e19.jpg

Aliyefananisha penzi na kikohonzi hayuo serious
Huu ugonjwa huenezwa na bacteria kwa njia ya hewa...huathiri zaidi mapafu lakini pia huweza kuenea hadi katika viungo zingine
Mgonjwa hupoteza uzito kwa kiwango kikubwa
Kuna uhusiano mkubwa kati ya Kifua Kikuu na mtu kuwa na VirusiVya Ukimwi

Husababisha vifo 1.4 Milioni kwa mwaka
jamaa hadi tattoo zimesinyaa.
 
Mzee hizi takwimu za mwaka Gani??? Afu vifo vitokanavyo Na uzazi sio ugonjwa.
Ni takwimu za leo mkuu

Hakuna niliposema vifo vitokanavyo na uzazi no ugonjwa

Swali
Ikitokea mwanamke akapoteza damu nyingi wakari wa kujifungua haitwi ni mgonjwa wala hapatiwi matibabu ?

Pia watoto wanaozaliwa na utapiamlo hawapo kundi la wagonjwa ?
 
Kisukari ni hatari kuliko ukimwi
Upo sahihi
Siku hizi magonjwa yasiyoambukiza ndiyo hatari zaidi na yanachangiwa na mabadiliko ua mtindo wa maisha
 
1/Ugonjwa wa Moyo
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg
e9ba76c22b502f6f5d48ce5cf401aa56.jpg
f4219b9d1eaf7b45d9379072b7dfd0a5.jpg
Moyo ndo injini ya mwili na waswahili husema kazi ya moyo ni kusukuma damu ..kupenda ni kiherehere
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababishwa na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua yule tajiri wa Yanga ila bwana yule na jamaa yake hawamwonei huruma wamekomaa tu na Mhindi wa watu na kufikia hatua kumpa kesi ya kubwia unga

Huua watu takribani milioni 7.2 kwa mwaka
.
.
................ ....................... ........... .. ...............
Baada ya kufuatilia nimegundua list ina upungufu kwa kutoutaja ugonjwa mmoja uitwao Kisukari ambao unatajwa kusababisha vifo vya watu takribabi 1.5 milioni kwa mwaka
Pia ugonjwa wa kisukari husababisha watu wengi kuisji na vilema kutoana na kukatwa miono au miiguu na viungo vingine kaa vile vidole
.........................................................................
.
.
.
.
.
Mwisho
The Bitoz
................
Asante kwa kutujuza.
 
Ukiangalia hayo magonjwa mengi husababishwa na mfumo wa maisha (life style). Kama ambavyo wat hukumbuka kutumia kinga, kujilinda dhidi ya mbu pia watu wakumbuke kuangalia vyakula. Utaratibu wa kula wanga sana (hadi mara 3 kwa siku) watu huishia kupata kisukari. Vile vile matumiz makubwa ya sigara, pombe huweza kusababisha kupata hizo kansa.
 
Back
Top Bottom