Yajue Majina ya kichagga na maana zake.

Yajue Majina ya kichagga na maana zake.

Ndenga ni Janga
Kuna harusi nilienda ya ndugu zangu, mama mkwe alikuwa hampendi bibi harusi yaani mkwewe! Hilo limama mkwe lika enda kuchukua mike likaanza kuimba ule uwimbo wa kichaga 'kiwaro apa ndenga '. Ile ndoa haikukaa wakaachana! Na lile li mama mkwe mume wake akafa! Na ndoa za watoto wake woote zikavunjika....wajukuu wake wote yule mama wamegeuka mateja! Kasoro wajukuu wa yule dada aliyo imbiwa huo uwimbo tu ndiyo wenye hekima na busara! Tujichunge sana vinywa vyetu mdomo unaumba! Mola mkubwa sana!
 
Ndesangia, ndesamburo, ndesanjo maana yake ni nini?
 
Tujichunge sana vinywa vyetu mdomo unaumba! Mola mkubwa sana!
Ahsante kwa Nasaha, Isis.

Mdomo unaumba katika mabaya pekee au hata katika masuala mema?. Utasikia, usimcheke..utakuja kuzaa kama yule. Is it true?.

Naomba kuuliza. Ukimcheka mtu bora, mwenye mafanikio katika material thing's (tajiri), kiongozi, watu wenye hekima/busara (kwa mazoea ya akili ya ki-Afrika). Je, utakuja kuzaa kama hao?.

Nomba unitoe tongotongo katika hilo.

Asalaam.
 
Ahsante kwa Nasaha, Isis.

Mdomo unaumba katika mabaya pekee au hata katika masuala mema?. Utasikia, usimcheke..utakuja kuzaa kama yule. Is it true?.

Naomba kuuliza. Ukimcheka mtu bora, mwenye mafanikio katika material thing's (tajiri), kiongozi, watu wenye hekima/busara (kwa mazoea ya akili ya ki-Afrika). Je, utakuja kuzaa kama hao?.

Nomba unitoe tongotongo katika hilo.

Asalaam.
Ndiyo maana unaambiwa jitamkie mambo mema!
Mimi mwenyewe ninayo hiyo nguvu!
Nikikutamkia mema yanakuwa na nikikutamkia mabaya yanayokea!
Ni vipaji ambavyo watu wachache wanavyo na hawajui na wengine wanajijua!
 
Mtoa mada hayo ni majina ya kichaga au ya kipare....!!?
Mimi siyo mtoa mada, Naomba kuongezea nyama kidogo..

Baadhi ya majina hapo juu ni ya kichaga, mengine siyo. Ni kule tu kushindwa kung'amua. Nb; kumbuka Ukristu ulileta mengi- haswa katika U-Lutheri.

Majina yote yanayoanziwa na "Eli/kuishiwa na "Eli" siyo ya Kichagga/ kiasili. Ni kughushi majina ya asili kwa kuongezea utamaduni wa kimagharibi unaonasibishwa na dini-Lutheran.

Ndiposa, Waluteri ndio wa kwanza katika Tanganyika na sasa Tanzania kutumia lugha za asili katika ibada na liturgia zao. Ukitembea-haswa vijijini siku za Jumapili katika makanisa ya Walutheri basi unaweza kuwasikia wakiendesha Ibada zao kwa Lugha zao.

Neno 'Eli' limetoholewa kutoka kiebrania "Elohim", yaani Mungu.

Pendaeli-Penda Mungu/ Mpende Mungu"
Eliapenda-Mungu apenda.
Eliasikia. Eliatosha. Elinaja na orodha inaendelea..

Wapare wana ya kwao, Natanaeli, Fahamueli, Elihuruma..concept ni dhana na U-Lutheri.

Asalaam, KikulachoChako.

Cc- 2013 .
 
Mbona hata wakina ngosha wanaitwa majina hayo,
 
Ndiyo maana unaambiwa jitamkie mambo mema!
Mimi mwenyewe ninayo hiyo nguvu!
Nikikutamkia mema yanakuwa na nikikutamkia mabaya yanayokea!
Ni vipaji ambavyo watu wachache wanavyo na hawajui na wengine wanajijua!
Ahsante kwa kunifunulia Juzuu..

Sikuwa nalifahamu hili, unaweza kunipa japo mifano. Nini ukinitamkia (zuri kwa baya) yanaweza kunisibu?.

Unaposema kipaji, kivipi?. Unafahamu fasili ya neno kipaji?, Naomba ufafanuzi.

Pia nitajuaje kama n'nayo/n'nacho (ulichokiita kipaji)?. Hao wachache wenye vipaji hivyo unawatambua vipi?.

Tuanzie hapa..
 
Mimi siyo mtoa mada, Naomba kuongezea nyama kidogo..

Baadhi ya majina hapo juu ni ya kichaga, mengine siyo. Ni kule tu kushindwa kung'amua. Nb; kumbuka Ukristu ulileta mengi- haswa katika U-Lutheri.

Majina yote yanayoanziwa na "Eli/kuishiwa na "Eli" siyo ya Kichagga/ kiasili. Ni kughushi majina ya asili kwa kuongezea utamaduni wa kimagharibi unaonasibishwa na dini-Lutheran.

Ndiposa, Waluteri ndio wa kwanza katika Tanganyika na sasa Tanzania kutumia lugha za asili katika ibada na liturgia zao. Ukitembea-haswa vijijini siku za Jumapili katika makanisa ya Walutheri basi unaweza kuwasikia wakiendesha Ibada zao kwa Lugha zao.

Neno 'Eli' limetoholewa kutoka kiebrania "Elohim", yaani Mungu.

Pendaeli-Penda Mungu/ Mpende Mungu"
Eliapenda-Mungu apenda.
Eliasikia. Eliatosha. Elinaja na orodha inaendelea..

Wapare wana ya kwao, Natanaeli, Fahamueli, Elihuruma..concept ni dhana na U-Lutheri.

Asalaam, KikulachoChako.

Cc- 2013 .
Asante kwa elimu ndugu.....

Lakini sikuwahi kudhani kuwa majina yanayoanzia na Eli hata uchagani yapo.....

Asante na ubarikiwe sana....
 
Mbee,sir,Manka,lello,kanken.

Haya majina hutokana na nafasi walizo zaliwa pia hubakia kua majina ya kimila ila Mara nyingi lazima kuwepo na jina la dini(ubatizo)
Ambayo ndio utambulika kitaifa/mataifa
 
Back
Top Bottom