Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Mkuu hilo jina sio la kinyakyusaMnandali nyalikokukamu.... maharage mabichi
Malefyale..... Mabua ya mahindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hilo jina sio la kinyakyusaMnandali nyalikokukamu.... maharage mabichi
Malefyale..... Mabua ya mahindi
Yaani ww jamaaMkuu hilo jina sio la kinyakyusa
Umechanganya hapo mi ni tofauti na mnyakyusaYaani ww jamaa
Malafyale tukuyu ndo wanatakiwa waje kutupa maana ya haya majinaMimi nipe maana ya majina haya:
Mtikila
Mwaipopo.
Ha ha mkuu acha uongoMnandali nyalikokukamu.... maharage mabichi
Malefyale..... Mabua ya mahindi
Usibishe teba ni majina ya watu humu hujawaonaHa ha mkuu acha uongo
Asesisye
Asangalwisye
Isakwisa
Asumwisye
Asubisye
Asagwile
Tuntufye= tumsifuNaomba maana ya majina haya
Tusa
Tuntufye
Hayo ni ya makabila mengine sio wanyakiUsibishe teba ni majina ya watu humu hujawaona
Mkuu naona unachanganya na kihayaKABHILABHIGHAMBO hiyo ni dawa ya mshipa hasa watoto wadogo
Mtani wangu huyo wacha nimtanieMkuu naona unachanganya na kihaya
thubutu we..............hili jina kwa kizungu ni " malt-linguistics "KABHILABHIGHAMBO hiyo ni dawa ya mshipa hasa watoto wadogo
Daaah wewe jamaa kwa misifa!!thubutu we..............hili jina kwa kizungu ni " malt-linguistics "