Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

3. Wanyakyusa
  • Tuntufye
  • Mwakyusa
  • Mwakalebela
  • Ntitu
  • Mwakosya
  • Tafa.[/quote]
Andongolile Bhongwenda Mmasyanju,
Anyasime Akasopo,
Mwamfupe,
Mwafwetelele,
Mwangafi,
Tujhobepo,
......Endelea......
 
Superman mambo vipi arifu.

Endeleza mshikamano wa kitaifa, mambo ya makabila hayana mashiko wakati huu wa kuoana toka makabila mbalimbali.

Mfano babu yangu mzaa baba ni mchaga, wakati mke wa babu ni mhaya. Baba anaitwa Rugaimukamu Kimario.

Mama yangu anaitwa Kabula Mabula. Hivyo Mimi naitwa Mabula Rugaimukamu Kimario.

Mke wangu anaitwa Atu Lusajo.

Mwanangu anaitwa Lusajo Mabula Rugaimukamu Kimario.

Mwanangu Sekela Lusajo kaolewa na M-australia Ed Smith.

Mjukuu wangu Atu Sekela Ed Smith. Sijui atakuwa wa ukoo au kabila gani.

hapa nadhani mleta mada hakumaanisha ukabila, nilichomuelewa ni tujaribu kuelimishana kuhusu makabila yaliyopo nchini kwetu na koo zake, sio watu wote wanayafahamu makabila hayo na pia sio wote tunaofahamu koo za makabila yetu. kwa kweli sijaona ukabila hapa
 
4. Wangoni (Mdau kawakilisha)
  • soko
  • moyo
  • nguruwe
  • mbuzi
  • fusi
  • nyoni
  • tembo
  • njovu
  • Gama
  • Komba
  • Mpambalioto
  • Songea
  • Mbano
  • Mtazama
  • Maseko
  • Zwangedaba
  • Mpezeni
6. Wakurya
  • Chacha
  • Mwita
  • Marwa
  • Matiku
  • Wambura
  • Nyarukamu
Update 1:

8. Wasukuma...
  • Mabula
  • Masanja
  • Magembe
  • Masunga
  • Sigiri
 
10. Wabantu
  • baduglyngabunjabu
  • uglybadndjabungabu
  • dudebadngabundjabu
  • ndjabudadude
  • baddudendjabudadude
  • badstankindudendjabudadude
 
Wana JF;

Inasemekana Tanzania ina Makabila 126 na katika makabila haya kuna Koo mbalimbali. Je tunaweza kusaidiana kutaja majina haya ya Ukoo yaliyo Common?

Ngoja nijaribu kufungua Dimba:


  • Tafadhali naomba tusaidiane kutaja majina mbalimbali ya Ukoo kwa kila Kabila na vile vile tuendeleze listi hii hadi yafike makabila 126.
TZ ina makabila 129 yaliyo hai ni 128 na 1 halimeshatoweka au li karibu kutoweka kwa kukosa wazungumzaji wake


8. Wafipa
  • nkoswe
  • mpambwe
  • khamsini
  • mwanakatwe
  • nswima
  • mzindakaya
  • simbakavu
  • kagosha
  • mwananzila
  • mwanachifunda
  • sichone
 
hapa nadhani mleta mada hakumaanisha ukabila, nilichomuelewa ni tujaribu kuelimishana kuhusu makabila yaliyopo nchini kwetu na koo zake, sio watu wote wanayafahamu makabila hayo na pia sio wote tunaofahamu koo za makabila yetu. kwa kweli sijaona ukabila hapa

Mrembo zaidi, hapa kuna ukabila. Kama sivyo mleta mada angeweza kuomba majina ya koo na ingetosha. Kichwa cha habari kinasema 'majina ya koo katika makabila', haihitaji rocket science kugundua kuwa hapa kuna element za ukabila. Tumia jicho lako la tatu kama mawili hayaoni ukabila.

Samahani kama nimekukwaza bibie.
 
Wajaluo

Omolo
Otieno
Owino
Omondi
Ojwang'
Osodo
Odhiambo
Okinyi
Odipo
Ochuodho
Ondiek
Onyango
Otieno
Oludo
Okeyo

Wajita

Masatu
Manyama
Mafuru
Mafwere
Mafwimbo
Magafu
Majigo
Majubu

Utaona kwamba Wajaluo wengi majina yao yanaanzia herufi O wakati Wajita wanaanza na herufi M. Kwa uzoefu wangu wa kufanya kazi mkoani Mara kipindi cha nyuma niliweza kufahamu chanzo (japo kidogo cha majina hayo). Ukiambiwa utacheeeeeeeekaa !!!!!!
 
Labda nisaidie kwa kabila la kichaga:
1. Marealle sio ukoo ni jina tu, wale machifu ni ukoo wa Moshi
2. Koo zingine ni
Lyimo
Chuwa(asilia yao ni Arusha, wako zaidi Kibosho na Uru)
Mallya (ukoo huu ni karibu kote)
Kisaka( hata wapare wamo)
Komu (hata kule Kenya ni Ukoo)
Mchau (utawapata Kenya, na Upareni pia)
Silayo (hasa Rombo)
Makundi (na wengine Kundi)
Mboro (wakina mama ni Mamboro, wachaga hawachanganyi 'l' na 'r' kama makabila mengine)
Sangawe
nk

Kwa nini tumetafuta majina ya Koo, tufahamu tu? Sina uhakika na maana za majina ya koo za kichaga
 
Wamakonde je ?

Bachikeli
Chumuni
Chilingi
Mutoka
Nyumba
Chimu (Simu)

Waha

Twagiraneza
Zunguye
Ntuyabaliwe
Twakaniki
Hungu

Wapare

Twazihirwa
Nimzihirwa
Tumsifu
Ombeni
Mkazeni
Mbazi
Sifuni

Wagogo

Chipanha
Chigwiyemisi
Chihonyhi
Chiligati
Chibehe
Chibulunje
Chikoti
 
Wanyakyusa:
Mwasongwe, Mwakatimbo, Mwamfupe, Mwaiapaja, Mwaisaka, Mwakamela, Mwanjelwa, Mwakilasa, Mwasakafyuka, Mwakyusa, Mwakatumbula, Mwaipaja, Mwasubila, Mwankenja, Mwakatundu, Mwakalinga, Mwakyembe, Mwakyambiki, Mwaipasi, Mwakapugi, Mwaisemba, Mwandemani, Mwakoba, Mwakajinga, Mwanguku, Mwalwisi, Mwalupindi, Mwamugobole, Mwankemwa.... du!
 
Superman mambo vipi arifu.

Endeleza mshikamano wa kitaifa, mambo ya makabila hayana mashiko wakati huu wa kuoana toka makabila mbalimbali.

Mfano babu yangu mzaa baba ni mchaga, wakati mke wa babu ni mhaya. Baba anaitwa Rugaimukamu Kimario.

Mama yangu anaitwa Kabula Mabula. Hivyo Mimi naitwa Mabula Rugaimukamu Kimario.

Mke wangu anaitwa Atu Lusajo.

Mwanangu anaitwa Lusajo Mabula Rugaimukamu Kimario.

Mwanangu Sekela Lusajo kaolewa na M-australia Ed Smith.

Mjukuu wangu Atu Sekela Ed Smith. Sijui atakuwa wa ukoo au kabila gani.

Mkuu Ama

Umeshindwa kuelewa kiini cha thread hii.

Tanzania ina mila na jadi zake ambazo zimeundwa na makabila mbalimbali. Unapozungumzia historia ya nchi hii haikamiliki bila kutambua uwepo wa makabila na harakati zao za maisha.

Ukabila wa mtu uko ndani ya kichwa chake na moyo wake ikiwa ni pamoja ne negative perception hata pale ambapo kwa nia nzuri jambo hilo si negative.

Kitu chochote kizuri au kibaya kinaweza kuangaliwa kwa mtazamo hasi au chanya.

Maana ya kuanzisha thread hii inaeleweka, na wala simlazimishi mtu asifirikiri vile akili yake inavyomtuma. Mimi binafsi si muumini wa ukabila lakini nathamini mila la tamaduni ikiwa ni pamoja na kujua na majina ya makabila. Ukienda kwa undani uotagundua kuwa hata haya majina yana maana yake. Je huo nao ni ukabila?

Binafsi bibi na babu mzaa baba wana makabila tofauti, hivyo hivyo bibi na babu mzaa mama. Kama haitoshi familia yetu ina mchanganyiko wa dini za kikristu na kiislamu. Hata hivyo tunaishi kwa amani na upendo huku kila mtu akiheshimu dini na kabila la mwenzake.

Shida iko wapi?

Mwenye masikio haambiwi sikia wala mwenye macho haambiwi tazama.

It is as if mtu anapinga kuwa Tanzania haina makabila.
 
waluguru;
kobelo
Mkude
Mwenda
luanda
Msimbe
Mwenda
Kobelo
Chilegu
Banzi
Mmbiki nk nk
 
Back
Top Bottom