Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Asee hao viumbe nilikuwa nao wengi sana mpaka walinizoea. Ilifikia kipindi chakula wanakuja kukifata mikononi mwangu. Na ikitokea sijawapatia chakula wanafika mpaka mbele ya nyumba yetu na kujaa tu.
 
dunh noma sana kwa hiyo njiwa wanadeka kuliko wanawake wajawazito [emoji23][emoji23]

*nasikia hata ukinyoa kiduku wanaondoka, ukivaa jezi ya arsenal ndo wanabeba na kibanda kabisa
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]ukitaka wazaliane gonga ya Barcelona [emoji23][emoji23]
 
we muongo muongo mbona mi mlevi lakini njiwa wa mtaa mzima wanashinda kwangu???
 
Mh [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…