Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Kama kuna tukio nyumbani kwako au kwa jirani wa karibu, mfano harusi, msiba au sherehe yoyote wajulishe, wakistukia tu watu nyomi, mziki huo au vilio wanasepa wote. Kuna bibi mmoja aliwafuga wengi na kuwapa taarifa kama kuna tukio nyumbani kwake au kwa majirani, sasa alifiwa na mwanae wa Dar kutokana na uchungu akasahau kuwaambia, siku ya msiba hawakutoka ila siku ya pili alikuta banda tupu. Afu sijui huwa wanaenda wapi maana hupotea tu.
Unawajulisha kwa kiingeleza au kiswahili??
 
Mi naombeni njia za kuwatimua tuu,wamehamia kwangu na wamezaliana mnoo,kila siku wanadondosha ceilling board za kuzunguka nyumba,nawatwanga manati ila ndio kama nimewaongezea kasi ya kuzaliana...
Watakuwa wa yle bibi aliyesahau kuwataarifu kuhusu msiba wa mwanae mkuu....[emoji16]
 
Nacho fahamu kuhusu hao jamaa kama umewafuga mwanga hatoboi kuingia ndani hadi awaue. ko ni walinzi wazuri sana
h
 
Tanga
[/QUOTE]..kumbe Madam S wewe niwaTanga upo sehem nikutembelee maana Nina Arosto ya ile hadithi yetu pendwa ya "Mzimu Unaotabasamu" akili yangu inaniambia wewe utakua nayo mwanzo mwisho...
Mimi nipo Tanga Town Tangasisi kama unaelekea Pangani
 
Ahaaa ila mimi sikuwaambia na hawakusepa.

Kama kuna tukio nyumbani kwako au kwa jirani wa karibu, mfano harusi, msiba au sherehe yoyote wajulishe, wakistukia tu watu nyomi, mziki huo au vilio wanasepa wote. Kuna bibi mmoja aliwafuga wengi na kuwapa taarifa kama kuna tukio nyumbani kwake au kwa majirani, sasa alifiwa na mwanae wa Dar kutokana na uchungu akasahau kuwaambia, siku ya msiba hawakutoka ila siku ya pili alikuta banda tupu. Afu sijui huwa wanaenda wapi maana hupotea tu.
[/QQUO
 
Kuna waliohamia kwangu na wametaga na kutotoa. Hata niwafukuze hawaondoki. Wana mwaka na ushee. Sijawajengea kibanda. Kuna kakibanda kalikuwa ka kasuku nimetega ila hawaingii huko bali wanalala juu kwenye lenta hivi. Ila ninawapenda sana.
 
Wengine hutafta mabanda ya karibu wakiona wenzao ndio wanaitwa mateka kama una moyo mdogo waweza usiwafuge hawasemwi vibaya kama kuku au mfugo mwengine wanapenda kupeana romance s mchezo
umenikumbusha mbali...mateka. Alaf kuna mafundi wa kuteka. Ni kukaa karib na kaka zako ama?kwenye jamii yetu nayoishi haya ya njiwa ni michezo ya vijana wa kiume
 
Back
Top Bottom