Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

Mi naombeni njia za kuwatimua tuu,wamehamia kwangu na wamezaliana mnoo,kila siku wanadondosha ceilling board za kuzunguka nyumba,nawatwanga manati ila ndio kama nimewaongezea kasi ya kuzaliana...
Mchinje mmoja mbele ya wenzake.
 
Nilifugaga Hawa ila kna jamaa alikuwa anawaiba
Mwenzangu kwake Mtama ulikuwa haukauki

Ova
 
Porojo tupu. Mie nafuga njiwa tena wengi sana, hawa wa kawaida, wana rangi na patterns mbali mbali na wengine ni weupe kabisa. Nilianza na wanne tu baada ya mwaka wakawa zaidi ya 30, sasa hivi wanazidi 300, siwezi kuwahesabu.

Wanaishi juu ya banda kubwa la kuku, walivyo kuwa wanazidi nikawawekea dari za mbao za marine ambazo nimeziongezea coat ya waterproof hardner.

Kitoweo kitamu sana. Siku nikitamani huwa nachinja 20 mpaka 30, Na nimegawa wengi sana na nimeuza wengi sana.

Wao mradi chakula kwa wingi (Mtama, choroko, kundi) na maji safi ya kutosha kwenye mabeseni, wanapenda sana kuoga kwenye maji.

Hakikisha wanapoishi hakuna access ya paka, panya na nyoka.

Mengine yote ni myths.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyongeza:
Hawapendi kusikia sauti za mahaba/za kubanjuana toka kwa binadamu.
Inashauriwa kuweka banda lao mbali na vyumba vya watu wazima ambao daily wanagegedana tena kavukavu.
Usipofanya hivyo njiwa watatomb@n@ sana na kushindwa kupata muda wa kula na hatimaye kufa wote kwa njaa!!
 
Porojo tupu. Mie nafuga njiwa tena wengi sana, hawa wa kawaida, wana rangi na patterns mbali mbali na wengine ni weupe kabisa. Nilianza na wanne tu baada ya mwaka wakawa zaidi ya 30, sasa hivi wanazidi 300, siwezi kuwahesabu.

Wanaishi juu ya banda kubwa la kuku, walivyo kuwa wanazidi nikawawekea dari za mbao za marine ambazo nimeziongezea coat ya waterproof hardner.

Kitoweo kitamu sana. Siku nikitamani huwa nachinja 20 mpaka 30, Na nimegawa wengi sana na nimeuza wengi sana.

Wao mradi chakula kwa wingi (Mtama, choroko, kundi) na maji safi ya kutosha kwenye mabeseni, wanapenda sana kuoga kwenye maji.

Hakikisha wanapoishi hakuna access ya paka, panya na nyoka.

Mengine yote ni myths.
Unawafungia kwenye nanda, maana hawa wanaowaongelea inaonekana sio wa kukaa kwenye banda ndo maana wanaandoka wanapojisikia
 
Nasikia ukivaa jezi ya Simba wanahamia kwa jirani Wa yanga
 
Kunampangaji mwenzangu aliketa njiwa,basi hao njiwa wakilia usiku wa saa nane kesho yake nisibandue mguu nyumbani maana niendako itakua full mabalaa. Nishahakiki zaidi ya maratano,baada ya kugundua hivyo sikuizi nawafatilia sana kama watabiri wangu,,,hii ni Handeni Tanga
 
Back
Top Bottom