Yajue mashirika makubwa yanayoongoza kwa ujasusi duniani

Yajue mashirika makubwa yanayoongoza kwa ujasusi duniani

weka urusi moja achana na watu wanaopenda promo kila kitu ndo waonekane wamepiga kaz watu wanauawa hvyoo nchin mwao kunawatu wanapiga kazi kmya kmya huwezi jua na hawaliilii njaa wakikosa hela utasikia bank moja imechapwa hela ndefu kimtandao
Mkuu akiiweka urusi unapotaka itabadiri nini,haya acha tufanye Tanzania ndo ipo juu,afu tuone itabadiri ubabe wa usa
 
hivi la kwetu ukilitaja ni kosa, mbona watu wanaogopa wanawaza mabwepande,
 
Hivi la nchini kwetu linaitwaje vile??
TISS....ila waziri mkuu mstaafu na wanasiasa mashuhuri inchin amesema kaz kubwa ya TISS ni kupambana na vyama vya upinzani na kuakikisha chama tawala kinaongoza milele.....
 
Back
Top Bottom