Yajue mashirika makubwa yanayoongoza kwa ujasusi duniani

Yajue mashirika makubwa yanayoongoza kwa ujasusi duniani

under certain occassion FBI wanaweza kuoperate hata nje ya marekani ,wao wanadeal sana na mambo ya kihalifu,FBI anaweza kamata mtu yeyote anaevunja sheria ya marekani hata CIa anaweza kuswekwa ndani na FBI,
na pia hata Rais provided mwanasheria mkuu katoa ok kwa maandishi,

mkurugenzi wa FBI Hawezi futwa kazi na rais,kwahiyo hafanyi kazi kwa utashi wa rais bali anafuata sheria,
director wa FBI ana mhula wa miaka kumi kama sikosei ndo anaweza kutoka na kuteuliwa mwingine
Mkurugenzi wa FBI anateuliwa na nani?
 
Kwa ulimwengu wa sasa USA hana mpinzani kabisa kwani ana a lot of competitive advantage. Mfano
1. Satelite nyingi zinazocontrol mawasiliano ya IT duniani ni za Marekani. Hii inampa USA uwanja mpana wa ku-access electronic information za mataifa mbakimbali na kuzitumia kwa manufaa yake.
2. Social networking hub nyingi duniani zinawezeshwa na ICT companies za Marekani. Mfano facebook, WhatsApp, tweeter, youtube, google etc.. Kwa taarifa yenu makampuni haya yanatoa siri zenu kwa serikali ya USA whenever demanded. Bear in mind server za taarifa zenu zinamilikiwa na makampuni haya.
3. USA ana nguvu kubwa ya kiuchumi kuliko taifa lingine duniani.
4. Recconaisance technology ya Marekani iko extremely advanced compared to any other country. Mfano ni USA pekee ndiye mwenye technology ku-detect majanga kama matetemeko, vimbunga-bahari etc na kuitahadharisha nchi husika kabla ya janga kutokea. Hata nchi kama north Korea wakitest nuclear bomb USA ata-detect seismic waves almost wakati huohuo.
5. Military technology ya Marekani iko very advanced na hiyo inampa competitive advantage katika intelligence.
 
weka urusi moja achana na watu wanaopenda promo kila kitu ndo waonekane wamepiga kaz watu wanauawa hvyoo nchin mwao kunawatu wanapiga kazi kmya kmya huwezi jua na hawaliilii njaa wakikosa hela utasikia bank moja imechapwa hela ndefu kimtandao

hayo mapenzi sasa
 
Wadukuaji wa Urusi naona ni zaidi ya Mr masifa Hao wa America.
 
Mkurugenzi wa FBI anateuliwa na nani?
anateuliwa na Rais,anaidhinishwa na senate,
anareport kwa Director of National intelligence,

lakini supervisor wake ni attorney general kwani FBI iko chini ya department of justice,

director wa FBI anapoharibu kazi rais atamwomba aachie ngazi,kama atakataa na rais atakuwa kaamua hasa kumfuta kazi lazima apitia kwa mwanasheria mkuu ambae ndo boss wa director wa FBI
 
Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na wataalam wanaofanya matukio makubwa ya pekee na kutumia mbinu za kisasa, za hatari tena kwa teknolojia ya hali ya juu
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India
kama hautajali tushushie vilefu vya hayo majina ya mashirika ya ujasusi...mfano..CIA-criminal intelligence agency...FBI-federal bureau investiganion.......endelea.......
 
tunaomba top 10 ya ujasusi Afrika pia tafadhari
 
kama hautajali tushushie vilefu vya hayo majina ya mashirika ya ujasusi...mfano..CIA-criminal intelligence agency...FBI-federal bureau investiganion.......endelea.......

CIA= Central Intelligence Agency
FSB=Federal Security Bureau /Service-Russia
MOSSAD=Ha'Mossad' le Modi i'n ule Tafkidim Meyuhadim'- Israel
ISI= Inter Service Intelligence- Pakistan
MI6= Military Intelligence section 6- Uingereza
MSS=Ministry of State Security- China
BND=Bundesnachrichtendienst- German
RAW= Research and Analysis Wing - India
DGSE=Direction'Ge'ne'rale' de la' Se'curite' E'xte'rieure'- France
 
Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na wataalam wanaofanya matukio makubwa ya pekee na kutumia mbinu za kisasa, za hatari tena kwa teknolojia ya hali ya juu
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India
TISS? au tunanii sisi, mbona ka mala tunasikia habari ya inteligensia imegundua ktk maandamano na mikutao kutatokea uvunjifu wa amani, inamaana haina kitu?
 
TUPE CHANZO CHA HAYO MAANDISHI YAKO,YAMETHIBITISHWA KWENYE CHOMBO KIPI.MAANA ISRAELI MIMI SIKUBALIANI NALO KATIKA NAFASI ULIYOIWEKA,WAYAHUDI HAO NDIO WALIOPANGIWA MAUWAJI NA WAKATEKELEZEWA,HAO HAO NDIO WALIOBUNIWA INCHI YAO ILI WÀSIJEKUKUTWA NA MADHILA MENGINE,HAO HAO NDIYO WANASAIDIWA KILA MWAKA KWA PESA ZA WALIPA KODI WA USA,HAO HAO WANASAIDIWA KIJESHI KIJASUSI NA ZANA ZA KIVITA NA USA.
 
Back
Top Bottom