Mkurugenzi wa FBI anateuliwa na nani?under certain occassion FBI wanaweza kuoperate hata nje ya marekani ,wao wanadeal sana na mambo ya kihalifu,FBI anaweza kamata mtu yeyote anaevunja sheria ya marekani hata CIa anaweza kuswekwa ndani na FBI,
na pia hata Rais provided mwanasheria mkuu katoa ok kwa maandishi,
mkurugenzi wa FBI Hawezi futwa kazi na rais,kwahiyo hafanyi kazi kwa utashi wa rais bali anafuata sheria,
director wa FBI ana mhula wa miaka kumi kama sikosei ndo anaweza kutoka na kuteuliwa mwingine
KumbeYamoto band
weka urusi moja achana na watu wanaopenda promo kila kitu ndo waonekane wamepiga kaz watu wanauawa hvyoo nchin mwao kunawatu wanapiga kazi kmya kmya huwezi jua na hawaliilii njaa wakikosa hela utasikia bank moja imechapwa hela ndefu kimtandao
anateuliwa na Rais,anaidhinishwa na senate,Mkurugenzi wa FBI anateuliwa na nani?
TISSHivi la nchini kwetu linaitwaje vile??
kama hautajali tushushie vilefu vya hayo majina ya mashirika ya ujasusi...mfano..CIA-criminal intelligence agency...FBI-federal bureau investiganion.......endelea.......Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na wataalam wanaofanya matukio makubwa ya pekee na kutumia mbinu za kisasa, za hatari tena kwa teknolojia ya hali ya juu
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India
Hapo kirefu cha CIA Ebu rudiakama hautajali tushushie vilefu vya hayo majina ya mashirika ya ujasusi...mfano..CIA-criminal intelligence agency...FBI-federal bureau investiganion.......endelea.......
CENTRAL INTELLIGENCY AGENCY...Hapo kirefu cha CIA Ebu rudia
kama hautajali tushushie vilefu vya hayo majina ya mashirika ya ujasusi...mfano..CIA-criminal intelligence agency...FBI-federal bureau investiganion.......endelea.......
CENTRAL INTELLIGENCY AGENCY...
nilichanganya na ya bongo mkuu......
TISS? au tunanii sisi, mbona ka mala tunasikia habari ya inteligensia imegundua ktk maandamano na mikutao kutatokea uvunjifu wa amani, inamaana haina kitu?Kazi kubwa ya mashirika ya kijasusi ni kukusanya, kuchambua na kuzifanyia kazi taarifa mbalimbali kwa ajili ya usalama wa taifa lolote na watu wake. mashirika yafuatayo yanaongoza kwa kuwa na wataalam wanaofanya matukio makubwa ya pekee na kutumia mbinu za kisasa, za hatari tena kwa teknolojia ya hali ya juu
1. CIA, FBI-Marekani
2. FSB(zamani KGB)-Urusi
3. Mossad-Israel
4. MI5/MI6-Uingereza
5. MSS-China
6. ISI-Pakistan
7. RAW-India
Fafanua zaidiiThe vatican intelligence and its fields of resources are second to none