ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio zimejengwa Sasa,kwani huko Kwa Mwendazake zilijengwa zikawa na wafakazi? Si Bora na Samia kaajiri?Bongo njaa tu ..hizo hospitali zisizokuwa na wafanyakazi ndo ulete hapa.
Hakuna cha maana kipya kilichofanyika.
Ndio maana nakwambia mna chuki zisizo na msingi na ambazo in any way haziwezi kukusaidia zaidi ya kula hasara.