Yale matamko ya Ubalozi wa Marekani kuhusu COVID-19 nchini yameishia wapi?

Hivi huoni Jana Magu kwenda na maic yake kanisani si strategy ya kujilinda na corona? Wewe puyanga tu tutakufukia
 
Ukiona mzungu Yuko mahali na havai barakoa ujue hakuna Corona,

Angalia juzi Dom mkutano wa TAG.
 
Mungu ni mwema sana katika nchi yetu ya Tanzania. Ametenda na atazidi kutenda hata kwa yale ambayo hatujui.
Mungu kapunguza dharau kwa binadamu wa nchi kama yetu.
Nimejifunza jambo mmoja kubwa kuwa mataifa makubwa yenye tekinologia kubwa yapo mambo hawajui au kizazi hiki kimezembea mambo ya msingi kwa muda mrefu.
 
Watz mnajifanya mnajuwa sana,yaani unakuta na mtu mmoja na kwenye chumba ambacho kinaruhusu mkae atleast one mita apart bado unataka avae barakoa,yaani nini hapo?
 
Ukiona mzungu Yuko mahali na havai barakoa ujue hakuna Corona,

Angalia juzi Dom mkutano wa TAG.
Wewe mjinga tu.Una vaa barakoa ukiwa pekee yako au upo na watu wawili watatu na mpo atleast one meter apart unavaa barakoa ya nini?wewe unadhani wazungu wanakariri Mambo Kama wanaccm?
 
video: Coronavirus in numbers

Coronavirus: Cover-up fears as reviews of Covid-19 deaths among NHS staff to be kept secret

Exclusive: Findings from more than 620 reviews of health and care staff deaths to remain hidden

Shaun LinternHealth Corres
 
Wewe unaamini kuwa vifo vinavyosemekana vilitokana na corona USA na duniani kwa ujumla vilikuwa exagarated?
 
Chadema watapinga! Yule mama rafiki yao alikuwa bure kabisa!
 
Mkuu propaganda zilizidi uhalisia, na kwa bahati mbaya sana baadhi ya wapinzani wakaibeba kama agenda ili kuwalizisha mabwana zao.

Wapiga propaganda wengi walikuwa wanaishia kusema tu Corona ipo ukiwauliza mtaani kwenu kuna wagonjwa wangapi ? Kimya.
 
Siyo rahisi kwa nchi zote duniani ku-exagarate idadi ya vifo. Ingekuwa ni nchi moja tu au chache tu ningeamini. Lakini tatizo limetokea kwenye nchi zote tena zenye kufuata mirengo mbali mbali ya siasa. Kuhusu Tanzania na Magufuli: Ukweli ni kuwa nchi nyingi za kiafrika hazijaathirika sana na hawa virus kama nchi za Ulaya au Amerika hasa kwa upande wa vifo.

Mpaka sasa hatujui sababu ni nini lakini ni lazima ipo/zipo sababu na huenda baadae zikajulikana. Ukichukulia kwa mfano Tanzania, Kenya na Uganda, hizi nchi kuathirika kwake, hasa upande wa vifo, siyo sana japo tofauti ni kuwa Tanzania walifariki watu wengi kwa mpigo kwa sababu hatukuchukuwa hatua zozote na Kenya wanafariki kwa kupishana kwa sababu wamechukuwa hatua.

Kenya sasa hivi idadi ya vifo ndiyo inakaribia 600 wakati Tanzania hii idadi ya vifo tuliivuka zamani na huenda sasa hivi herd immunity inafanya kazi.

Alichafanya Magufuli (kwa ukaidi na kutojua) ni kuachia virus wasambae na wenye bahati mbaya wafe ili waliobaki wapone kitu ambacho sikiafiki kwa sababu bado angeweza kuzuia idadi kubwa ya vifo vilivyotokea hasa baada ya kuhimiza watu wajilundike nyumba za ibada.
Scientists still puzzled by low corona deaths in Africa
 
Mungu katuepusha kwa miujiza

Vifo vilikuwepo si kwa rate ile iliyosemwa.

Nadhan ki uhalisia sio sisi si mabara mengine wanaojua ni why,

Corona ingekuwepo kwa rate ile iliyokuwa inasemwa, maiti zingelala barabarani
Hata juzi tarehe 11.08.2020 USA wametoa warning kwa raia wake kusafiri kwenda nchi za Kenya, Tanzania etc... Hakuna kilichobadilika.
 
Walikuwa wanadanganywa na wanaharakati uchwara baada ya wao kwenda mitaani nakujionea hali halisi wamegundua kuwa walikuwa wanadanganywa na akina Chakaza G Sam Return Of Undertaker huyu G Sam hata matangazo yake ya vifo vya Covid-19 yamebuma na anaumia sana nasikia sasa hivi anaugonywa wa moyo unamsumbua kwa sababu ya stress.

Ndiyo maana Balozi wa US ameletwa mpya baada ya yule wa mwanzo kuonekana amedanganywa sana. Wamepata fundisho kuwa wanaharakati watz ni wapigaji tu.

Pia walidanganywa na Faru John kuwa amevamiwa na kuvunjwa mguu kumbe uongo kwa sasa hawalipuki tena na matamko yao mpaka wachunguze kwanza isjngekuwa hivyo hilo la Lissu huko Hai wangekuwa wameshatoa tamko!
 
Siyo rahisi kwa nchi zote duniani ku-exagarate idadi ya vifo. Ingekuwa ni nchi moja tu au chache tu ningeamini. Lakini tatizo limetokea kwenye nchi zote tena zenye kufuata mirengo mbali mbali ya siasa. Kuhusu Tanzania na Magufuli:...
Acha uongo kawadanganye wanasaccos wenzako huko. Mlipokuwa mnawadanganya USA kuwa hospitali zetu zimezidiwa?

Tena wewe ulikuwa mstari wa mbele kabisa kusema eti tutaisha tunaojitambua tulikuambia uache uongo ukapaniki lakini tukaendelea kukupa vidoge ili upone ugonjwa wako wa slavery mentality.

Eti leo unakuja na kusema nchi za Afrika azijaathirika sana na kwamba idadi ya vifo ya Kenya ni ndogo kuliko ya Tanzania eti tulishapita tayari. Kawadanganye familia yako.
 
Matamko yamehamia kenya, COVID imeweka kambi kenya sio sehemu salama tena kwa ukanda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…