Hivi huoni Jana Magu kwenda na maic yake kanisani si strategy ya kujilinda na corona? Wewe puyanga tu tutakufukiaKweli kabsa anachosema sicho anachokifanya sasa anajizodoa mwenyewe kila uchao wanarusha picha kuonyesha hicho wanachokiamini nyomi la watu dunia inamuona na kumshangaa umati ule hakuna tahadhari yetote za kiafya zinafuata hata yeye hana mask sasa mwendawazimu sijui ni nani hapo kama si yeye!
Mungu kapunguza dharau kwa binadamu wa nchi kama yetu.Mungu ni mwema sana katika nchi yetu ya Tanzania. Ametenda na atazidi kutenda hata kwa yale ambayo hatujui.
Watz mnajifanya mnajuwa sana,yaani unakuta na mtu mmoja na kwenye chumba ambacho kinaruhusu mkae atleast one mita apart bado unataka avae barakoa,yaani nini hapo?We unasema marekani, mbona humsemi kigogo aliyefia kutangaza vifo vya ajali za gari ni corona, mpaka kaikimbia akaunti yake kaja na nyingine siku hizi.
Marekani ilikuja kugundua yule balozi mwanamke ni mliberali, wakamfurusha, balozi m republic alipokuja, kasafisha kabisa kuwa Tanzania ni salama na yeye aliingia ikulu bila barakoa
Wewe mjinga tu.Una vaa barakoa ukiwa pekee yako au upo na watu wawili watatu na mpo atleast one meter apart unavaa barakoa ya nini?wewe unadhani wazungu wanakariri Mambo Kama wanaccm?Ukiona mzungu Yuko mahali na havai barakoa ujue hakuna Corona,
Angalia juzi Dom mkutano wa TAG.
video: Coronavirus in numbersKwa mtu anayechanganua masuala kwa undani utagundua kuwa matamko ya Ubalozi wa Marekani kuhusu kile walichokuwa wanakiita ''Hali mbaya ya maambukizo nchini'' kimepotea baada ya tamko lao la mwisho la mwezi Mei 2020.
Nadhani Ubalozi wa Marekani umegundua kuwa matamko hayo yalikuwa hayaisaidii Marekani kwa sababu walichokuwa wanakisema kilikuwa hakionekani kwenye uhalisia lakini kikubwa zaidi, balozi zingine kama za umoja wa Ulaya zilikuwa kimya.
Matamko ya mara kwa mara ya Ubalozi wa Marekani yalimuibua mwandishi kutoka Uholanzi wa kampuni ya habari, VOICE OF AMERICA aitwaye Ruud Elmendorp kufanya uchunguzi wa kina nchini ili kujua ukweli. Alitembelea mpaka makaburi mbali mbali nchini mara kwa mara hasa yaliyopo Dar es Salaam kuona kama kuna shughuli nyingi za mazishi lakini aligundua hakuna shughuli hizo.
Ukitaka kusoma habari na kuangalia video yake ya Uchunguzi unaweza kugonga LINK hii >>>COVID-19 Diaries: Can Tanzania Really Be Coronavirus-Free?
Kuna msema usemao, ''mficha maradhi kifo humuumbua''. Hii ina maana kuwa kama serikali ya Tanzania ilikuwa inaficha maradhi yatokanayo na COVID-19 basi vifo vya watu wengi vingeiumbua serikali.
Baada ya maambukizi ya COVID-19 kuanza kusambaa kwa kasi katika nchi za Afrika, nchi nyigi za Afrika zilijikuta zikifuata mfumo uliokuwa umependekezwa na WHO katika kukabiliana na janga hili lakini Serikali ya Tanzania iliamua kufuata mfumo tofauti ambao ulizishangaza nchi nyingi duniani lakini pia umesababisha kuzolota zaidi kwa mahusiano ya serikali ya Tanzania na serikali ya Kenya.
Maamuzi ya serikali sio kwamba yalizua mjadala mkubwa na mkali kwa jumuiya za kimataifa peke yake bali pia hata hapa nchini. Jukwaa la Jamiiforums halikubaki nyuma katika mjadala huo ambapo thread hii;
GONGA LINK>>>Janga la COVID-19: Naipongeza Serikali kwa kukataa kuiga baadhi ya mbinu za ’Nchi za Magharibi’ , iliyofunguliwa mwezi wa tatu ilichochea mjadala mkubwa na mkali kuhusu maamuzi ya serikali.
Mwana Jamiiforums Nyani Ngabu alikuwa ni mmoja wa Watanzania wa mwanzo kukubaliana na mtazamo wa Rais Magufuli katika mapambano ya Korona. Mwezi wa tatu alileta mada yenye kichwa cha habari, ''Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/hofu. Baadhi ya wanajamii walipingana naye sana kuhusu mtazamo wake wengine wakimshambulia yeye badala ya hoja yake.
Mada yake hiyo inapatikana hapa, GONGA LINK>>>Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu
Mwanajamiiforums mwingine Mzee Mwanakijiji alileta pia mada mwezi wa tatu kuhusu kile ambacho alikuwa anakiita maamuzi ya Rais Magufuli kuhusu Corona ni bahati na nasibu lakini akamalizia kwa kuuliza ITALIPA?
Ukitaka kusoma thread hiyo GONGA LINK>>>HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?
Mijadala hii ilikuwa inakolezwa na matamko yaliyokuwa yanatolewa mara kwa mara na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ambayo yalikuwa yakionyesha ''kuna hali mbaya'' ya maambukizi na vifo nchini.
Kwa sasa imepita miezi 6 tokea mijadala mikali itokee nchini na nje ya nchi kuhusu maamuzi ya Rais Magufuli kuhusiana na korona. Kinachoshangaza kwa sasa hata matamko ya Ubalozi wa Marekani nchini hayatolewi tena na hata wale ambao walikuwa wanakubaliana nayo huku wakimshutumu Rais Magufuli wamebadilisha mwelekeo kimya kimya baada ya kushindwa kupambana na ukweli halisi.
Je, Matamko ya Ubalozi wa Marekani yalikuwa yana malengo gani?
Kama matamko hayo yalikuwa yana malengo, Je, malengo yake yametimia ndio maana hayatolewi tena?
Je, waliokuwa wanakubaliana na matamko ya Ubalozi wa Marekani wamepotelea wapi?
Nani huyo ,??? Au TALAfisa wake mwandamizi mkuu yupo kwenye ziara mikoani kutafuta wadhamini ila kila akipata muda wa kuongea na media za Kenya anasisitiza korona inaua na watu wanazikwa usiku!
We mkikuyu unasemaje?Watz mnajifanya mnajuwa sana,yaani unakuta na mtu mmoja na kwenye chumba ambacho kinaruhusu mkae atleast one mita apart bado unataka avae barakoa,yaani nini hapo?
Wewe unaamini kuwa vifo vinavyosemekana vilitokana na corona USA na duniani kwa ujumla vilikuwa exagarated?Corona imepaishwa sana, hususan huko Marekani.
Na sababu kuu ni uchaguzi wao mkuu wa mwezi Novemba mwaka huu.
Inatumiwa kama fimbo ya kisiasa ya kumchapia Rais Donald Trump.
Ila kwa sasa ninachokiona huko Marekani ni kuna ‘pandemic fatigue’.
Watu wammeanza kuzichoka hizo habari za Corona.
Kama ugonjwa ungekuwa ni hatari kama tulivyoaminishwa, basi sisi tungeathirika kupita maelezo.
Hata huyo Tundu Lissu mwenyewe naona amekubaliana na hali halisi.
Kwenye matembezi yake huko kusaka wadhamini hachukui tahadhari zozote zile zilizopendekezwa na bado anaonekana mzima mwenye afya tele.
Dunia nzima, labda ukitoa Tanzania, imelishwa tango pori.
Chadema watapinga! Yule mama rafiki yao alikuwa bure kabisa!Kwa mtu anayechanganua masuala kwa undani utagundua kuwa matamko ya Ubalozi wa Marekani kuhusu kile walichokuwa wanakiita ''Hali mbaya ya maambukizo nchini'' kimepotea baada ya tamko lao la mwisho la mwezi Mei 2020.
Nadhani Ubalozi wa Marekani umegundua kuwa matamko hayo yalikuwa hayaisaidii Marekani kwa sababu walichokuwa wanakisema kilikuwa hakionekani kwenye uhalisia lakini kikubwa zaidi, balozi zingine kama za umoja wa Ulaya zilikuwa kimya.
Matamko ya mara kwa mara ya Ubalozi wa Marekani yalimuibua mwandishi kutoka Uholanzi wa kampuni ya habari, VOICE OF AMERICA aitwaye Ruud Elmendorp kufanya uchunguzi wa kina nchini ili kujua ukweli. Alitembelea mpaka makaburi mbali mbali nchini mara kwa mara hasa yaliyopo Dar es Salaam kuona kama kuna shughuli nyingi za mazishi lakini aligundua hakuna shughuli hizo.
Ukitaka kusoma habari na kuangalia video yake ya Uchunguzi unaweza kugonga LINK hii >>>COVID-19 Diaries: Can Tanzania Really Be Coronavirus-Free?
Kuna msema usemao, ''mficha maradhi kifo humuumbua''. Hii ina maana kuwa kama serikali ya Tanzania ilikuwa inaficha maradhi yatokanayo na COVID-19 basi vifo vya watu wengi vingeiumbua serikali.
Baada ya maambukizi ya COVID-19 kuanza kusambaa kwa kasi katika nchi za Afrika, nchi nyigi za Afrika zilijikuta zikifuata mfumo uliokuwa umependekezwa na WHO katika kukabiliana na janga hili lakini Serikali ya Tanzania iliamua kufuata mfumo tofauti ambao ulizishangaza nchi nyingi duniani lakini pia umesababisha kuzolota zaidi kwa mahusiano ya serikali ya Tanzania na serikali ya Kenya.
Maamuzi ya serikali sio kwamba yalizua mjadala mkubwa na mkali kwa jumuiya za kimataifa peke yake bali pia hata hapa nchini. Jukwaa la Jamiiforums halikubaki nyuma katika mjadala huo ambapo thread hii;
GONGA LINK>>>Janga la COVID-19: Naipongeza Serikali kwa kukataa kuiga baadhi ya mbinu za ’Nchi za Magharibi’ , iliyofunguliwa mwezi wa tatu ilichochea mjadala mkubwa na mkali kuhusu maamuzi ya serikali.
Mwana Jamiiforums Nyani Ngabu alikuwa ni mmoja wa Watanzania wa mwanzo kukubaliana na mtazamo wa Rais Magufuli katika mapambano ya Korona. Mwezi wa tatu alileta mada yenye kichwa cha habari, ''Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/hofu. Baadhi ya wanajamii walipingana naye sana kuhusu mtazamo wake wengine wakimshambulia yeye badala ya hoja yake.
Mada yake hiyo inapatikana hapa, GONGA LINK>>>Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu
Mwanajamiiforums mwingine Mzee Mwanakijiji alileta pia mada mwezi wa tatu kuhusu kile ambacho alikuwa anakiita maamuzi ya Rais Magufuli kuhusu Corona ni bahati na nasibu lakini akamalizia kwa kuuliza ITALIPA?
Ukitaka kusoma thread hiyo GONGA LINK>>>HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?
Mijadala hii ilikuwa inakolezwa na matamko yaliyokuwa yanatolewa mara kwa mara na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania ambayo yalikuwa yakionyesha ''kuna hali mbaya'' ya maambukizi na vifo nchini.
Kwa sasa imepita miezi 6 tokea mijadala mikali itokee nchini na nje ya nchi kuhusu maamuzi ya Rais Magufuli kuhusiana na korona. Kinachoshangaza kwa sasa hata matamko ya Ubalozi wa Marekani nchini hayatolewi tena na hata wale ambao walikuwa wanakubaliana nayo huku wakimshutumu Rais Magufuli wamebadilisha mwelekeo kimya kimya baada ya kushindwa kupambana na ukweli halisi.
Je, Matamko ya Ubalozi wa Marekani yalikuwa yana malengo gani?
Kama matamko hayo yalikuwa yana malengo, Je, malengo yake yametimia ndio maana hayatolewi tena?
Je, waliokuwa wanakubaliana na matamko ya Ubalozi wa Marekani wamepotelea wapi?
Ndiyo.Wewe unaamini kuwa vifo vinavyosemekana vilitokana na corona USA na duniani kwa ujumla vilikuwa exagarated?
Siyo rahisi kwa nchi zote duniani ku-exagarate idadi ya vifo. Ingekuwa ni nchi moja tu au chache tu ningeamini. Lakini tatizo limetokea kwenye nchi zote tena zenye kufuata mirengo mbali mbali ya siasa. Kuhusu Tanzania na Magufuli: Ukweli ni kuwa nchi nyingi za kiafrika hazijaathirika sana na hawa virus kama nchi za Ulaya au Amerika hasa kwa upande wa vifo.Ndiyo.
Hata juzi tarehe 11.08.2020 USA wametoa warning kwa raia wake kusafiri kwenda nchi za Kenya, Tanzania etc... Hakuna kilichobadilika.Mungu katuepusha kwa miujiza
Vifo vilikuwepo si kwa rate ile iliyosemwa.
Nadhan ki uhalisia sio sisi si mabara mengine wanaojua ni why,
Corona ingekuwepo kwa rate ile iliyokuwa inasemwa, maiti zingelala barabarani
Lissu pia ana mic yakeHivi huoni Jana Magu kwenda na maic yake kanisani si strategy ya kujilinda na corona? Wewe puyanga tu tutakufukia
Acha uongo kawadanganye wanasaccos wenzako huko. Mlipokuwa mnawadanganya USA kuwa hospitali zetu zimezidiwa?Siyo rahisi kwa nchi zote duniani ku-exagarate idadi ya vifo. Ingekuwa ni nchi moja tu au chache tu ningeamini. Lakini tatizo limetokea kwenye nchi zote tena zenye kufuata mirengo mbali mbali ya siasa. Kuhusu Tanzania na Magufuli:...
Hujui kitu nyamaza tu wewe!Hata juzi tarehe 11.08.2020 USA wametoa warning kwa raia wake kusafiri kwenda nchi za Kenya, Tanzania etc... Hakuna kilichobadilika.