Yale matamko ya Ubalozi wa Marekani kuhusu COVID-19 nchini yameishia wapi?

Yale matamko ya Ubalozi wa Marekani kuhusu COVID-19 nchini yameishia wapi?

Corona imepaishwa sana, hususan huko Marekani.

Na sababu kuu ni uchaguzi wao mkuu wa mwezi Novemba mwaka huu...
Mafua haya yalipaswa kuchikuliwa kawaida na approach yake iwe kama mafua mengine...ila kuna mtu aliipoteza dunia
 
video: Coronavirus in numbers

Coronavirus: Cover-up fears as reviews of Covid-19 deaths among NHS staff to be kept secret

Exclusive: Findings from more than 620 reviews of health and care staff deaths to remain hidden

Shaun LinternHealth Corres
Duh!
Hii Corona ina mambo mengi yamejificha!
 
Mpiga zumari wao wa Corona Lissu kasahau kazi aliyotumwa ya kueneza uongo na uvumi kuhusu corona anatafuta wadhamini nchi nzima akiwa havai hata hiyo barakoa. USA, Lissu na WHO wameaibika sana kuhusu corona Tanzania.
Nilimwambia asizungumze tena habari ya Corona atajiaibisha bure! Yeye atueleze atafanyaje kuturudishia uhuru wetu tulioporwa na mkoloni mweusi!
 
Mkuu propaganda zilizidi uhalisia, na kwa bahati mbaya sana baadhi ya wapinzani wakaibeba kama agenda ili kuwalizisha mabwana zao.

Wapiga propaganda wengi walikuwa wanaishia kusema tu Corona ipo ukiwauliza mtaani kwenu kuna wagonjwa wangapi ? Kimya.
Hata Lissu alirudi na fikra zilezile za wapiga propaganda lakini nadhani umejua kuwa Watanzania wengi hawataki hizo propaganda ndio maana kwa sasa ameachana nazo!
 
Walikuwa wanadanganywa na wanaharakati uchwara baada ya wao kwenda mitaani wamegundua kuwa walikuwa wanadanganywa na akina Chakaza G Sam Return Of Undertaker huyu G Sam hata matangazo yake ya vifo vya Covid-19 yamebuma na anaumia sana nasikia sasa hivi anaugonywa wa moyo unamsumbua kwa sababu ya stress...
Andiko lako naliona lina ukweli ndani yake.
 
Jana nilikutana na mdada mmoja mwenye akili kama zako! Akasema korona hakuna Tz.

Nikamwuliza kama virus vya korona viliwezakusafiri kutoka China mpaka Ubeligiji then kutoka Ubeligiji vikafika Arusha -Tz, vitashindwa kutoka Kenya kwenye victim karibu 29,000 kuja Tz?

Jibu: Sisi kwa sababu tuliwahi kufanya maombi na hatukufunga makanisa! Hizi akili au matope!!
Kama huamini kwa Mungu unaweza sema hivyo. Mungu ni muweza wa yote!
 
Wewe mjinga tu.Una vaa barakoa ukiwa pekee yako au upo na watu wawili watatu na mpo atleast one meter apart unavaa barakoa ya nini?wewe unadhani wazungu wanakariri Mambo Kama wanaccm?
Wewe ni hopeless kabisa!! Naona unabisha tuuu! Haya tuambie ukoo wenu wameugua wa ngapi na bado mnazika? Mpelekeee mtangaza vifo vya corona G Sam atangaze basi siku nyingi hajatangaza vifo vya corona!
 
Wewe ni hopeless kabisa!! Naona unabisha tuuu! Haya tuambie ukoo wenu wameugua wa ngapi na bado mnazika? Mpelekeee mtangaza vifo vya corona G Sam atangaze basi siku nyingi hajatangaza vifo vya corona!
Mkuu si lazima ndugu yangu augue ndo tujue corona ipo,Kuna magonjwa mengi Tanzania na yaanaua watu every day Ila hakuna ndugu yangu aliyewahi kuugua magonjwa hayo.Ni mtu mwenye akili nyingi tu Kama wewe anayeweza kuja na upuuzi huu uliouleta wewe kwamba nao ni justification ya kutokuwepo corona tz
 
Mkuu si lazima ndugu yangu augue ndo tujue corona ipo,Kuna magonjwa mengi Tanzania na yaanaua watu every day Ila hakuna ndugu yangu aliyewahi kuugua magonjwa hayo.Ni mtu mwenye akili nyingi tu Kama wewe anayeweza kuja na upuuzi huu uliouleta wewe kwamba nao ni justification ya kutokuwepo corona tz
Nani amesema kuwa corona haipo TZ mbona hata Rais Magufuli alishasema kabisa kuwa ugonjwa huu tutaishi nao kama magonjwa mengine!! Sasa nyinyi mnakuza mambo ili kuwatisha watz eti watu wanazikwa usiku kumbe mlikuwa mnafanya usanii tu ili kuwaridhisha mabwana zenu mabeberu! Haya sasa imebuma!!
 
Jana nilikutana na mdada mmoja mwenye akili kama zako! Akasema korona hakuna Tz.

Nikamwuliza kama virus vya korona viliwezakusafiri kutoka China mpaka Ubeligiji then kutoka Ubeligiji vikafika Arusha -Tz, vitashindwa kutoka Kenya kwenye victim karibu 29,000 kuja Tz?

Jibu: Sisi kwa sababu tuliwahi kufanya maombi na hatukufunga makanisa! Hizi akili au matope!!
Kwani we unakubali kuwa sasa Tz maambukizi ya virus vya corona yamepungua?
 
Hili la kusema kuwa kuna hila ni conspiracy theory ambayo imevuma sana lakini mimi sikubaliani nayo. Ningekuwa sijaona watu ambao walikuwa wazima kabisa lakini wakaugua ugonjwa wenye dalili zote za corona na kufariki pengine ningekubali.
"Marehemu alikuwa na maradhi mengine"
Hiyo kauli tuliisikia sana kipindi kile wakiwa wanatangaza vifo vya corona hapa Tz,yani hadi sasa nashindwa kuelewa kuwa wale watu walikufa kwa corona huku wakiwa na magonjwa mengine au wamekufa na hayo magonjwa yao mengine huku wakiwa na hivyo virusi vya corona?
 
Mungu katuepusha kwa miujiza

Vifo vilikuwepo si kwa rate ile iliyosemwa.

Nadhan ki uhalisia sio sisi si mabara mengine wanaojua ni why,

Corona ingekuwepo kwa rate ile iliyokuwa inasemwa, maiti zingelala barabarani
Hivi Zitto aliyekuwa akishabikia kinachoitwa uwepo wa wagonjwa wa Corona kwa maelfu hapa TZ je siku hizi anavaa barakoa?
 
Tuache I utani. Hivi Tanzania watu wanatumia nini.... Maana Haiwezekani yakawa ni maombi tu.
Kabla ya hayo maombi kwani hali ya corona kwa Tz ilikuaje? Mimi nachokiona ni kwamba tulijizuia tu kufanya tunayofanya sasa na tukawa na hofu basi.
 
"Marehemu alikuwa na maradhi mengine"
Hiyo kauli tuliisikia sana kipindi kile wakiwa wanatangaza vifo vya corona hapa Tz,yani hadi sasa nashindwa kuelewa kuwa wale watu walikufa kwa corona huku wakiwa na magonjwa mengine au wamekufa na hayo magonjwa yao mengine huku wakiwa na hivyo virusi vya corona?
Of course kama mtu alikuwa na eg HIV, TB, Kisukari etc lakini alikuwa anaishi maisha ya kawaida lakini kwa bahati mbaya akapata corona virus na kufariki, moja kwa moja ni kuwa virus watakuwa ndiyo quilty kwa kifo kilichotokea.
 
1597566592075.png


1597566619510.png


Rais wa Zimbabwe anajikinga na kaugonjwa ka Corona.
 
Mkuu si lazima ndugu yangu augue ndo tujue corona ipo,Kuna magonjwa mengi Tanzania na yaanaua watu every day Ila hakuna ndugu yangu aliyewahi kuugua magonjwa hayo.Ni mtu mwenye akili nyingi tu Kama wewe anayeweza kuja na upuuzi huu uliouleta wewe kwamba nao ni justification ya kutokuwepo corona tz
Hayo maswali mkuu yanajaribu kuona athari za huu ugonjwa katika uhalisia wake huku kwenye jamii hasa ikiwa ugonjwa wenyewe ni hatari na jinsi unavyoambukiza.
 
Tuache I utani. Hivi Tanzania watu wanatumia nini.... Maana Haiwezekani yakawa ni maombi tu.
Hukumuona Mbunge Msukuma alivyopiga nyungu? Mababu zenu walikuwa wanapiga nyungu nyinyi mnajifanya wajanja? Subirini dawa kutoka kwa uncle!
 
Back
Top Bottom