Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
[emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa bwabwaAcha ujinga mtoa mada
Anza ww kwanza kusaka hizo hela then nasi tutakuiga.Nasisitiza vijana tusake hela... mwanaume kukaa mavuzi kibao kusifia wanaume wenzako kuwa na hela au uwezo fulani ingali ww ukiamua unaweza ni UCHOKO.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Harmonize bila WCB ni harmorapa..
Siku hizi Hance Mtanashati amewasusia WCB baada ya kunyimwa kupiga selfie na mama yake DiamondHance Mtanashati anasemaje kuhusu hili..
Pigia mstari.Kwa hiyo Diamond yeye atakuwa hapo alipo milele?
Huyo dogo nilikua namkubali sana lakin baada ya kuimba nyimbo kuhusu magufuli sitaki hata kumskia na nyimbo zote kwenye flash zinazomhusu nimezifuta na sasa namuombea mikosi kama nilivyoomba kwa mzee wa upako saivi amebakia kichwa tu ajifie.Amemsifia rais tu kwani ameisifia ccm?
Chief..Harmonize bila WCB ni harmorapa..
Ujue we mchokozi sana mume[emoji8] [emoji8] [emoji8]
Huenda amekusikia.Kosa atakalo lifanya Harmonize nikuondoka WCB
Namshauri atulie
Yap bro..Kwema.Chief..
Uzuri uchokozi wangu unaupenda..Ujue we mchokozi sana mume
Kwema saana. Ile biashara inakwendajeYap bro..Kwema.
Acheni kumtisha, mwenzako ameotea gap la kwenye kampeni, nyie kaeni na chuki zenu za kisiasa na uchadema , hapa duniani ni kutafuta hela uishi fresh , diamond hitsong yake ya my number one aliiconvert na kuiita my CCM, akapiga hela mbaya kwenye uchaguz 2015, mlimsema vibaya kwamba atashuka na kuchukiwa na watu wasioipenda CCM, lakn leo yupo wap.....kila mmoja apambane na hali yakeMimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.