Yaleyale yaliyojitokeza kwa Alikiba, Darassa, Aslay, Mavoko, n.k, ndiyo yanataka kujitokeza kwa Harmonize.

Yaleyale yaliyojitokeza kwa Alikiba, Darassa, Aslay, Mavoko, n.k, ndiyo yanataka kujitokeza kwa Harmonize.

Asalaam Alykuum wakubwa.

Kumekuwa na kasumba moja kwenye kiwanda cha mziki wa bongo flava, kuwa pale inapotekea msanii akawa na spot light kubwa anaanza kupambanishwa na Diamond haijalishi huyo msanii yupo upande gani.
Diamond amekuwa kama ndo S.I Unit ya mziki wa bongo flava kuwa kila msanii lazima alinganishwe naye na kupambanishwa iwe kwa heri au kwa shari. Nikikumbuka kipindi Alikiba anaf anya comeback kweny sanaa kuliibuka makundi mawili moja likimshabikia huyu jingine yule. Team zilikuwa kubwa sana ikawa Alikiba na Diamond.
Nakumbuka tena kipondi Darassa anaachia mikwaju ya maana kama ngoma yake pendwa ya mziki watu walianza kumfananisha na diamond akaonekana ni bora kuliko diamond mpk yeye akaonekana upepo kuanza kumpitia akajaa bichwa baada ya hapo imebaki historia tu siyo tena yule darasa wa mziki na wale watu hawana mda naye tena washamsahau.
Aslay naye vile vile watu walimvimbisha kichwa na kupewa tambo kuwa yeye ni mkali kuliko Diamond ikapelkea kujiita nguvu ya Umma but kila mtu anajua Aslay siyo yule tena na wale watu awaliomvimbisha kichwa hawana time naye tena ile nguvu ya Umma haipo tena.
Walewale waliojifny wanamshabikia Alikiba, Darassa, Aslay, ndo hawo hawo waliomrubuni Rich Mavoko kuwa WCB inamnyonya na yeye ni mkubwa kuliko Diamond so hawezi kuwa chini yake hii ikampelekea Mavoko ajitoe WCB kwa mbwembwe kubwa lakini sasa hawana time naye anaachia ngoma kila iitwapo leo lakini zote ziiiii.
Sasa hivi upepo umerudi kwa Harmonize wanamjaza kuwa ashakuwa mkubwa so kuendelea kuwa chini ya Diamond ni kuendelea kunyonywa, bora ajitoe aanze kijisimamia yeye kam yeye. Bila kusahau kuwa ndo hawa hawa waliokuwa wanamponda kuwa hajui kuimba anamuiga boss wake na kujifanya kumkuza Rayvanny kuwa ndo mwenye kipaji, lakini kwa sasa wamegeuza kibao wanamuona Harmonize ndo mkali hata mond hamfikii. Kwa sasa ameshakuwa mkubwa basi haina haja ya kuendelea Kuwa chini ya WCB.
Upepo huu naona kama ushaanza kumjaa mdogo wng Harmonize anaonekana kujitenga sana crew ya wasafi anajiona ashakuwa mkubwa. Nikuhakikishie Harmonize hawa wanaokujaza bichwa hawakutakii mema na siku ukijitoa wasafi baada ya miezi kadhaa hutowasikia tena watahamia kwa msanii mwingne na kuanza kukuponda. Diamond ni msanii pendwa ana maadui wengi na mashabiki wengi sana so hao maadui ndo hutafuta kila mbinu ya kumwngusha ndo maana kila leo wanakuja na mbinu tofauti tofauti ili tu kum-frustrate bwana mdogo ila yeye ashaamua kukaza ndo maana mpk leo yupo hapo. Acha kusikiliza huu upepo maana ni wa mda tu, kumbuka Domo kakutoa wapi kakupiganiaje mpk leo upo hapo. Ukitaka kujua hilo kaangalie upya interview yako ulofanya mara ya kwanza na Millard Ayo itakupa funzo upya. Usipelekwe na huu upepo wa mda ambao baadaye utakugeuka.
Mkuu umetoa ushauri mzuri Sana Kwa dogo , harmonize anatakiwa ajue wabongo wengi ni wanafiki na Wana roho mbaya , hapo umesahau Yule dogo aliyekuwa wasafi Qboy msafi aliyeitoa Kwa mbwembwe , Ila dogo harmonize ni muelewa nilimsikiliza juzi kwenye interview akimtoa nishai muandishi WA habari aliyemuuliza habari za yy kupanda basi , nikaona harmonize anajitambua , Nia Yao ni kuwachanganisha yy na diamond ili wagombane , sijui hao watu watapata faida gani
 
Mimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.
atawafata kina maroo wa bembereza
 
Mkuu umetoa ushauri mzuri Sana Kwa dogo , harmonize anatakiwa ajue wabongo wengi ni wanafiki na Wana roho mbaya , hapo umesahau Yule dogo aliyekuwa wasafi Qboy msafi aliyeitoa Kwa mbwembwe , Ila dogo harmonize ni muelewa nilimsikiliza juzi kwenye interview akimtoa nishai muandishi WA habari aliyemuuliza habari za yy kupanda basi , nikaona harmonize anajitambua , Nia Yao ni kuwachanganisha yy na diamond ili wagombane , sijui hao watu watapata faida gani
Pamoja sana mkuu
 
Haya mambo bado mnayaandikaga tuuhh!!!!??
 
Huyo dogo nilikua namkubali sana lakin baada ya kuimba nyimbo kuhusu magufuli sitaki hata kumskia na nyimbo zote kwenye flash zinazomhusu nimezifuta na sasa namuombea mikosi kama nilivyoomba kwa mzee wa upako saivi amebakia kichwa tu ajifie.
Dua la kuku
 
Asalaam Alykuum wakubwa.

Kumekuwa na kasumba moja kwenye kiwanda cha mziki wa bongo flava, kuwa pale inapotekea msanii akawa na spot light kubwa anaanza kupambanishwa na Diamond haijalishi huyo msanii yupo upande gani.
Diamond amekuwa kama ndo S.I Unit ya mziki wa bongo flava kuwa kila msanii lazima alinganishwe naye na kupambanishwa iwe kwa heri au kwa shari. Nikikumbuka kipindi Alikiba anaf anya comeback kweny sanaa kuliibuka makundi mawili moja likimshabikia huyu jingine yule. Team zilikuwa kubwa sana ikawa Alikiba na Diamond.
Nakumbuka tena kipondi Darassa anaachia mikwaju ya maana kama ngoma yake pendwa ya mziki watu walianza kumfananisha na diamond akaonekana ni bora kuliko diamond mpk yeye akaonekana upepo kuanza kumpitia akajaa bichwa baada ya hapo imebaki historia tu siyo tena yule darasa wa mziki na wale watu hawana mda naye tena washamsahau.
Aslay naye vile vile watu walimvimbisha kichwa na kupewa tambo kuwa yeye ni mkali kuliko Diamond ikapelkea kujiita nguvu ya Umma but kila mtu anajua Aslay siyo yule tena na wale watu awaliomvimbisha kichwa hawana time naye tena ile nguvu ya Umma haipo tena.
Walewale waliojifny wanamshabikia Alikiba, Darassa, Aslay, ndo hawo hawo waliomrubuni Rich Mavoko kuwa WCB inamnyonya na yeye ni mkubwa kuliko Diamond so hawezi kuwa chini yake hii ikampelekea Mavoko ajitoe WCB kwa mbwembwe kubwa lakini sasa hawana time naye anaachia ngoma kila iitwapo leo lakini zote ziiiii.
Sasa hivi upepo umerudi kwa Harmonize wanamjaza kuwa ashakuwa mkubwa so kuendelea kuwa chini ya Diamond ni kuendelea kunyonywa, bora ajitoe aanze kijisimamia yeye kam yeye. Bila kusahau kuwa ndo hawa hawa waliokuwa wanamponda kuwa hajui kuimba anamuiga boss wake na kujifanya kumkuza Rayvanny kuwa ndo mwenye kipaji, lakini kwa sasa wamegeuza kibao wanamuona Harmonize ndo mkali hata mond hamfikii. Kwa sasa ameshakuwa mkubwa basi haina haja ya kuendelea Kuwa chini ya WCB.
Upepo huu naona kama ushaanza kumjaa mdogo wng Harmonize anaonekana kujitenga sana crew ya wasafi anajiona ashakuwa mkubwa. Nikuhakikishie Harmonize hawa wanaokujaza bichwa hawakutakii mema na siku ukijitoa wasafi baada ya miezi kadhaa hutowasikia tena watahamia kwa msanii mwingne na kuanza kukuponda. Diamond ni msanii pendwa ana maadui wengi na mashabiki wengi sana so hao maadui ndo hutafuta kila mbinu ya kumwngusha ndo maana kila leo wanakuja na mbinu tofauti tofauti ili tu kum-frustrate bwana mdogo ila yeye ashaamua kukaza ndo maana mpk leo yupo hapo. Acha kusikiliza huu upepo maana ni wa mda tu, kumbuka Domo kakutoa wapi kakupiganiaje mpk leo upo hapo. Ukitaka kujua hilo kaangalie upya interview yako ulofanya mara ya kwanza na Millard Ayo itakupa funzo upya. Usipelekwe na huu upepo wa mda ambao baadaye utakugeuka.

haya ni mawazo yako

kuwa Diamond ni SI unit ya muziko ni mawazo yako

kuwa hao wengine wameisha ki muziki ni mawazo yako

Leo hii hata wewe ukianza kuimba muzili utapata wafuasi ni mawazo yangu

..ni asili;



ukisema hao uliowataja wameisha kumuziki ...unashangaza na pia ni mawazo yako

Ukisema kila mtanzania au wengi anampenda diamond isnt that natural


yaani hata USA siku hizi wanamuziki wana hit sawa wote?
 
haya ni mawazo yako

kuwa Diamond ni SI unit ya muziko ni mawazo yako

kuwa hao wengine wameisha ki muziki ni mawazo yako

Leo hii hata wewe ukianza kuimba muzili utapata wafuasi ni mawazo yangu

..ni asili;



ukisema hao uliowataja wameisha kumuziki ...unashangaza na pia ni mawazo yako

Ukisema kila mtanzania au wengi anampenda diamond isnt that natural


yaani hata USA siku hizi wanamuziki wana hit sawa wote?
Pumba kama pumba zngne.
 
Pumba kama pumba zngne.

yaani unataka ukiandika kila mtu akupe support tu??

inaonekana wewe ni inferio na insecure

maana unachojua ni matusi

ndio nyie mlidanganywa kwenye familia zenu

halafu ndo upewe uwaziri sasa
 
Sasa kwanini kila anaye linganishwa au pambanishwa na Huyo Diamond anaanguka?kwanini ukionekana mshindani wake unaishia vibaya kama ulivyosema?NDIO UJUE DIAMOND ni mwanga tu kama wachawi wengine wa Nigeria.
 
Sasa kwanini kila anaye linganishwa au pambanishwa na Huyo Diamond anaanguka?kwanini ukionekana mshindani wake unaishia vibaya kama ulivyosema?NDIO UJUE DIAMOND ni mwanga tu kama wachawi wengine wa Nigeria.
Sumbawanga mbona alianguka kwa stage au uchawi wa Nigeria haufui dafu wa Uko sumbawanga?
 
Kwahiyo mkuu, kama mtu amekushika mkono ndo aendelee kukushika mapema? ingekuwa na vema aondoke ili wengine wainuliwe. Maisha kusaidiana. Kama anaweza kusimama kwa miguu yake yampasa atembee.

Najitahidi kutafuta mfanano wa mifano yako kwa konde boy na hao wengine, ila sipati.

Halafu watu hutofautiana. Wanavyopotea wengine sio lazima na wengine wapotee.
 
yaani unataka ukiandika kila mtu akupe support tu??

inaonekana wewe ni inferio na insecure

maana unachojua ni matusi

ndio nyie mlidanganywa kwenye familia zenu

halafu ndo upewe uwaziri sasa
Nimechagua kukupuuza.
 
Kwahiyo mkuu, kama mtu amekushika mkono ndo aendelee kukushika mapema? ingekuwa na vema aondoke ili wengine wainuliwe. Maisha kusaidiana. Kama anaweza kusimama kwa miguu yake yampasa atembee.

Najitahidi kutafuta mfanano wa mifano yako kwa konde boy na hao wengine, ila sipati.

Halafu watu hutofautiana. Wanavyopotea wengine sio lazima na wengine wapotee.
Sawa tupo hapa, tutakuja kukumbushana Insha'Allah..!!
 
Back
Top Bottom