Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Hao wanawake wanakuhusu nini?? Kwamba kama.ana mahusiano na wewe asipende wengine au?? Kila mtu apambane na penZi lake.halafu Achana na ushamba wa kupigia watu simu toka kwenye simu ya mtu wewe.yaani ungekutana na Mimi ningekuambia kwanza tumeathirika Mimi na hyo mwanaume ningekupa shuhida feki Hadi ufe
 
Mwanamke Mjinga atavunja ndoa yake kwa mikono yake, ye mwenyewe!
 
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,

Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.

Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.

Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.

Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
Ulikuwa unatafuta nini kwenye tank la petroleum.
 
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,

Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.

Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.

Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.

Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
Utahamia kwa wanawake?
 
Jamaa si kakwambia hao si mademu zake ,ni mademu wa washikaji zake, kwanini humuamini lakini? . Ko unawaamini hao wanawake?
 
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,

Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.

Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.

Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.

Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
Njoo dm kuna jambo nikueleze utanishukuru badaye
 
Back
Top Bottom