Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Lilikuwa shati au flana? Au siku hizi Yanga wameanza kutoa na mashati?π€£π€£
Ulikuwa unatafuta nini kwenye tank la petroleum.Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,
Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.
Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.
Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.
Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu ππππ
Utahamia kwa wanawake?Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,
Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.
Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.
Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.
Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu ππππ
Tena kaingia kwenye tenki hilo na viberitiUlikuwa unatafuta nini kwenye tank la petroleum.
Ajaribu aone πππππKumbe uko serious kufanya acts of terror kwa babu yangu Poor Brain !?
Aaaagh roho mbaya hii.
T-shirt π ni fulana, shirt ni shati kwa kiswahili, kama hujawahi kuisikia bhasi wewe unashida kwenye kiswahiliMkuu fulana siijui ndo naanza kusikia kwako. Au unamanisha filimbi?
sasakama unaelewa kiasi hicho kwanini usijiongeze mkuuT-shirt π ni fulana, shirt ni shati kwa kiswahili, kama hujawahi kuisikia bhasi wewe unashida kwenye kiswahili
Njoo dm kuna jambo nikueleze utanishukuru badayeYalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,
Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.
Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.
Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.
Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu ππππ