Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Hao wanawake wanakuhusu nini?? Kwamba kama.ana mahusiano na wewe asipende wengine au?? Kila mtu apambane na penZi lake.halafu Achana na ushamba wa kupigia watu simu toka kwenye simu ya mtu wewe.yaani ungekutana na Mimi ningekuambia kwanza tumeathirika Mimi na hyo mwanaume ningekupa shuhida feki Hadi ufe
 
Mwanamke Mjinga atavunja ndoa yake kwa mikono yake, ye mwenyewe!
 
Ulikuwa unatafuta nini kwenye tank la petroleum.
 
Utahamia kwa wanawake?
 
Je wewe huna mchepuko?
Je wewe alikuoa ukiwa bikra?
Otherwise kizuri kula na wenzio.
 
Jamaa si kakwambia hao si mademu zake ,ni mademu wa washikaji zake, kwanini humuamini lakini? . Ko unawaamini hao wanawake?
 
Njoo dm kuna jambo nikueleze utanishukuru badaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…