PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Pole Mtani.Hizo ngonjera tulizisikia tokea mwezi wa 12 mwaka jana. Mtabadilisha santuri sana. Hiyo mnayotumia imechubuka.
Pole nikupe wewe. Vipi wewe Yanga ipi ya Mkuchika au Akilimali?Uchaguzi nini?Pole Mtani.
Pamoja na takwimu zako ndeeeefu lakini umesahau hatua ya makundi nitofauti na mtoano.
umeshindwa kutambua kwamba robo fainali haina tofauti na hatua za Awali. Ambazo simba ilifanya vizuri kwa kupata mabao hata ugenini. Lakini umevaa miwani ya chuma na kuganda kwenye hatua za makundi kwamba simba iligeuzwa kapu la mabao ugenini.
napenda ujue kwenye hatu hii usitegemee kuiona simba yakufungwa goli 5 ugenini. Ila tegemea kuiona simba yenye ushindani nakupata matokeo. Kila hatua plan ubadilika. Hukum baada ya matokeo nasio kabla ya matokeo.
waliokua wanatudhihaki juu ya Asi vita wako wapi? Wekeni hakiba ya maneno. Simba imedhamiria kufanya makubwa mwaka huu.
Mkuu habari;wala hakuna sehemu huu uzi unaoiombea Simba mabaya,mleta mada kaelezea vzr sana na what to do specifically kwenye mechi za away,sijaona sehemu hata chembe alipiwaombeeni vibaya Simba,kwenye ukweli ni vzr mkachukua mawazo ya wengine mkafksha kwa wahusika ili wazifanyie kazi.endeleeni tu kutuombea mabaya
sasa hivi mmekuja na historia,mlinunua kanzu za mtumba ili kushangilia waarabu