Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemaliza vizuriAje kula ubwabwa j3, kutakua na nyama za kutosha tu
😂Hivi we ni dini ganiMti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.
Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?
Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?
Neno ‘Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):
“Mila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisika” (Jeremia 10-3,4).
Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.
“Ibada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…
Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofauti”.
Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.
View attachment 2850683
hakushindi weweMtoa mada ni mgonjwa wa akili.. apuuzwe na anyang’anywe simu arudishiwe baba ake 🤣
Nina uhakika akishashiba hizi nyuzi atazifuta mwenyewe, njaa kitu kibaya sanaumemaliza vizuri
Simu za mkopo ukitype nazo kitu uwa hata hakiwezi eleweka..hakushindi wewe
unatumabangoNina uhakika akishashiba hizi nyuzi atazifuta mwenyewe, njaa kitu kibaya sana
Imani yako ya kishirikina, mti una ubaya gani? Waafrika kuwaza uchawi tuu.Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.
Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?
Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?
Neno ‘Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):
“Mila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisika” (Jeremia 10-3,4).
Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.
“Ibada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…
Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofauti”.
Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.
View attachment 2850683
Ili mumchanganyie na mbuzi katoliki?😂Aje kula ubwabwa j3, kutakua na nyama za kutosha tu
Ohoo wazee wa kupiga kwenye mshono mshakuja tayari😂
😂😂Ili mumchanganyie na mbuzi katoliki?😂
Allah AkbarWanakuja wafia dini
Mjinga huyo hayo mapambo tu ya shereheahhh naona mti huu unakuumiza sana.brother usiumie sana hizi ni bwembwe tu za sherehe.