Yaliyofichika kwenye Mti wa Krismas, usithubutu kuununua

Yaliyofichika kwenye Mti wa Krismas, usithubutu kuununua

Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Bakiif ndugu yangu, kutokana na jina lako uliloamua kutumia nadhani wewe ni muislam. Na post zako mbili leo unazungumzia mambo ya Christmas. Hii ina maana wewe kama Muslim hayakuhusu kabisa. Waache wataulizwa na 'Mungu' wao wakati huo wewe ukiwa 'peponi' ukila na kunywa vitamu. Kubali Kataa huwezi chagua jirani wa kuishi naye.
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683

Uzi mwingine kutoka madrasa,kwani ukristo umewakosea nini,bakini na mungu na imani yenu mbona kuuandama ukristo?wakristo nao wakiaza kuandama sikukuu zenu kutakalika? Dini zimewafanya mmekua wapuuzi na watumwa wa kifikra to the max hadi kuanza kujenga chuki na waisio amini.
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
sawa sawa mjukuu wa marehemu mudi
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Uchonganishi na ubaguzi,dunia ilishatoka kwenye uchonganishi na ubaguzi wa kiitikadišŸ¤”
 
Mwambie huyu shekh Mo Salaa Kipozeo.
images.jpg
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683

Ngoja nikanunue kesho nione kama usemayo ya kweli

CHRISTMAS MUBARAQ Ustaadh Majinun[emoji28]
 
Hujui siku hizi hata Ulaya wanaweka miti ya bandia (plastics)
Na hiyo inabeba nini?
Wazungu wanajua sana kubuni biashara ili serikali zipate kodi
Xmas ina biashara kubwa sana na ikiisha inaingia New Year biashara nyingine tena

February nayo wanaanza na Valentines wanauza kadi na zawadi kama vichaa hapo serikali inaingiza KODI na watu wanapata chakula

Mwezi wa Tatu ni Mother's day

April kuna Easter jamani halafu nyie kiongozi anafukuza watu Dar eti kama hawataki msongamano
Hivi hakuna ubunifu kabisa kwenu
Msihangaike na haya mambo bali ni mbinu tu kila mwezi lazima utanunua kitu utake usitake ila sio nyie
 
Unaonekana ni mpuuzi kushambulia sikukuu za wengine ili hali nawe una sikukuu za ajabu ajabu kwenye dini yako. Huo mti hununuliwa kama pambo tu na hauna utukufu wowote wa ibada. Umekazana kuleta nyuzi za kukandia krismasi huku nawe una sikukuu za ajabu katika dini yako na hakuna wa kuchimbachimba sikukuu unazoziabudu katika uislam wako. Heshimu sikukuu za wengine
 
Yani leo mkuu uko bize na nyuzi za christmas na ukristo kama umekodishwa.... kuna uzi kule umeufungua kule umesema christmas ni sikukuu ya kipagani, huu huu unawaasa watu wasinunue mti wa kufifia....tabu yako wewe ni nini maana kwa mujibu wa user name yako wewe ni mwislam!? Mambo ya dini ya mtu mwachie mwenyewe muumini wa hiyo dini.

Yani mbuzi ni wa bwana heri, shamba ni la bwana heri yote heri wewe jirani amini unaloona ni sawa acha wakristo waishi wanavyotaka
huyo ni mwendawazimu tu, asubiri sikukuu zake za idi anazoona ndizo sikukuu kumbe ni abrakadabra tu
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Wewe usituchanganye bhana!!,Kila kitu ukionacho Duniani kinapewa maana nzuri au mbaya na binadamu,Hata Mwezi na nyota kwenye Misikiti kuna binadamu wamevipa maana mbaya pia,yawezekana sehemu zingine hata ukivaa baraka shee wanakushangaa kwasababu ya maana waliyoipa hiyo barakashee.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Waislam wanaujua ukristo kuliko wakristo wenyewe. Ila wakristo wakijifanya wanaujua uislama wanaambiwa watulie. Huu uharo ulioandikwa hapa ni dhahiri hii dini ya kiislamu ina mapungufu makubwa sana. Mtu ana wivu mpaka na sherehe isiyomhusu. Juzi tu mtanzania mwenzetu kauwawa na HAMAS wamepambana kuwakingia kifua HAMAS, Yani takataka.
 
Kukata miti ili kupamba ndani Christmas kunaharibu mazingira.
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Radical islam nitatizo na ndio sababu ya kinacho endelea Gaza
 
Mti ulio bora wa Krismasi unanunuliwa. Ukipambwa kwa madoido yenye kung’ara pamoja na kumetameta, unasimamishwa karibu na dirisha. Maduka yanajazana wanunuzi wakisaka zawadi na vile viduchu vinasubiri kwa hamu kubwa ya Baba Krismasi Santa.

Ni mshughuliko na ni homa ya Krismasi 'Christmas fever, umewahi kufikiri kabla? Je, Biblia au Yesu aliwahipo kusababisha homa ya Krismasi?

Je, Krismasi Ina Ushahidi wa Biblia?

Neno ā€˜Krismasi’ halipo ndani ya Biblia. Biblia ilifunga midomo ya sherehe yote inayohusiana na Krismasi, isipokuwa kwa kitu kimoja; upambaji wa mti. Biblia wYenyewe inashutumu upambaji wa miti (ya Krismasi):

ā€œMila za watu si chochote, wanakata mti kutokana na msitu, na mchongaji anauchonga kwa patasi yake, wanaupamba kwa fedha na dhahabu, wanaugandanisha kwa nyundo na misumari ili usipate kutikisikaā€ (Jeremia 10-3,4).

Wazungu wa ki-Pagani kabla ya Ukristo, waliamini miujiza kwamba miti ya kijani ina nguvu maalum za ulinzi. Hakika, matumizi ya Miti ya Krismasi imeanza hivi karibuni tu mwa karne ya 17 huko Strasbourg, Ufaransa na kutoka huko ukaenea hadi Ujerumani, Uingereza na baadaye Marekani.

ā€œIbada ya miti ilikuwa ni jambo la kawaida kwa dini miongoni mwa watu wa (Teutonic) na Scandinavia wa Ulaya ya kaskazini kabla ya kuingia kwenye Ukristo…

Walowezi wa ki-Jerumani walileta mila za Mti wa Krismasi kwenye makoloni ya Kimarekani mnamo karne ya 17. Kufikia karne ya 19, matumizi yake yalienea sehemu tofautiā€.

Usinunue mti wa Krismasi unafifiza imani kwa familia yako na watoto wako, mti huo unabeba roho za kipagani.

View attachment 2850683
Dini zimesababisha uwezo wa kufikiri wa mtu mweusi kutokomea kusikojulikana.
 
Huo ndio ukweli, labda ulete ukweli wako tofauti na huo
Inawahusu Nini hivi kwa Nini msiandike juu ya ukombozi wetu kifikra?yaani ww unaetetea uislamu na huyo anaetetea ukristu ur all mazafakaz Cha msingi turudie Imani zetu kabla hawajaja Hawa mabwana zenu
 
Back
Top Bottom