Yaliyofichika kwenye Mti wa Krismas, usithubutu kuununua

😂Hivi we ni dini gani
 
Imani yako ya kishirikina, mti una ubaya gani? Waafrika kuwaza uchawi tuu.
 
Una hakika umeshamaliza kuelimisha wati wa dini yako mkuu,kwanini usiwaache wenye dini yao wapate raha kama ambavyo huwa unapata raha maulid?
 
Tabia za KU GOOGLE na kuamini ulicho gogo opo siku utakuwa Gwajoma. Gwaji ali gogo makala iliosema KORONA ni 5 G hivyo watu wasitumie 5G kumbe ulikuwa ujinga uliowekwa mitandaoni , Yeye akauchukua na kuanza kuuhubiri ule ujinga. Mda ni msema ukweli wote tunajua Gwajima alihubiri ujinga na hupokewa na wajinga kirahisi kwa sababu hawana uwezo wa kupima ukweli.
Wewe umetumia kipimo gani kupima kushuka kwa imani kwenye familia ?. Miti yenyewe mingine imeundwa kwa plastic how can a plastic absorve your spiritual power . Yaani lotoi wewe unaliogopa,
duniani humu!
 
ahhh naona mti huu unakuumiza sana.brother usiumie sana hizi ni bwembwe tu za sherehe.
Mjinga huyo hayo mapambo tu ya sherehe

Kama yakivyo mapambo mengine.Mtu anafanya birthday au kuoa au kuolewa ukumbi hupambwa

Sasa hizo sherehe za kibinaadamu unapamwa ukumbi sembuse sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa Yesu iwe kanisani au popote. YESU ni Mheshimiwa sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake lazima ipambwe iwe kwa maua au Christmas tree nk

Maua na miti yote ni Mali ya Mungu sio shetani au wapagani.Mleta maada ana pepo mchafu anaamini kuna miti ya shetani au wapagani hivyo haitakiwi kutumika kupambwa kanisani Shetani na wapagani hawajawahi umba mti wowote ukiwemo mti wa Krismasi .Christmas Tree mwenye hati miliki nao ni Mungu sio wapagani au Shetani hivyo waweza tumika kanisani kama pambo siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Yesu

Shida mleta mada kajazwa ujinga na kidini chake kuwa kuna mimea au miti ni mali za shetani au wapagani akasome kitabu cha mwanzo Mungu ndie aliyeumba miti yote ikiwem o Christmas tree .Miungu haikuumba hiyo miti na haina mamlaka ya kuibinafsisha kuifanya ya kwao yenyewe kama miungu au wafuasi wa hiyo.miungu wawe wapagani au mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…