Huyo ndiye kitila mwemyeweyaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndiye kitila mwemyeweyaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Ifikie hatua muone aibu yaani mnatuma picha baada ya kuzifanyia editing kwa ufupi ni kwamba kuanzia Tabora, Shinyanga hadi leo Dodoma mmeangukia kisogo Kama siyo pua.Huyu!!
Jacob atafute kazi ya kufanyayaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Mimi sio level yako, sipaswi hata kukujibu, hebu tafuta wa level yako please! I am sorryIfikie hatua muone aibu yaani mnatuma picha baada ya kuzifanyia editing kwa ufupi ni kwamba kuanzia Tabora, Shinyanga hadi leo Dodoma mmeangukia kisogo Kama siyo pua.
Labda ndiyo yeye mwenyewe au mkewe !! .yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Acha kujipaisha wewe!Mimi sio level yako, sipaswi hata kukujibu, hebu tafuta wa level yako please! I am sorry
Sijibishani na wavulana wanaoishi kwao! Tafuta wa level yakoAcha kujipaisha wewe!
Hebu leteni picha za mikutano ya chadema ile ya dr. Slaa tuone.
Hii chadema ya Lisu ni bure kabisa. Yani mmefikia hatua hata picha mnatuma kwa kuogopa?
Kaone haka!Sijibishani na wavulana wanaoishi kwao! Tafuta wa level yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitila apata aibu kubwa mkutanoni, ni baada ya kuwauliza akina Mama kama wana maji, wakamjibu Ndio! Alitegemea jibu la hapana ili amu-outsmart Mnyika na Chadema....kaumbuka
Usiwe na wasiwasi na huyo cha domo. Baada ya Oktoba 28, 2020 wote watapotea humu na kuibuka na IDs mpya! Dah! Mara nimemkumbuka 'msalani'!Tulia Cha Domo [emoji16][emoji23][emoji1787]
Muulize anakumbuka hio kauli 2015?Namtabiria makubwa huyu mwamba.
Mungu amjalie apate Ubunge aanze safari ya kuwa kiongozi mkubwa nchini.
Kitila gani, yule muhadhiri all yekuwa malaika na sasa amegeuka ibilisi?Huenda ndo Kitila mwenyewe!
Wengi hawa wameletwa kwa malori kutoka mbali, ni wahudhuriaji wa kulipwa.Leo mgombea ubunge wa Jimbo la ubungo kwa tiketi ya CCM, ndugu Prof. Kitila Mkumbo amefanya Mkutano wake wa kwanza wa uzinduzi katika viwanja vya #EPZA na haya ndio yaliyojiriView attachment 1558496View attachment 1558493View attachment 1558495View attachment 1558494View attachment 1558498View attachment 1558497View attachment 1558499
Akina mama mna majiiiii?Huenda ndo Kitila mwenyewe!
Kitila hashindi!kuna tetesi kwamba Bony karejeshwa
watu wamesombekeyaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana