Yaliyojiri Birthday Party ya Tanasha , Mama Diamond .

😁😁😁inasikitisha sana mtoto kufanana na baba wa kambo, na watoto wa baba wa kambo.kitanda hakizai haramu😂
 
Jaman kwan mwanaume akizaa nje na wanawake wengine harusuwi kuoa tena au mwanamke haruhusiwi kuolewa nae, mana kama ndo hivyo wengine hatutoa basi
 
ha ha ha, kwahiyo mama daimond anambemenda yule ki bent 10?
ina maana baba daimond alishindwa kusimamia ukucha mpaka daimond akamfanyia ukuhadi mama yake mzazi, yaani inasemekana Daimond ndio alitafuta mwanaume wa kumsugua mama yake mzazi, hii dunia imeisha, huyo mwanaume analishwa , valishwa, ananyolewa mpaka vuzi kwa gharama za diamond, uswahili aisee, sijui, ulimbukeni sijui, hawa "WAha wa Kigoma" wameharibu kabisa hii nchi, na ifike pahala " usalama wa Taifa" waangalie huu mwenendo, kama dogo anaharibunkiazzi,wamweke wengine wanapowekwaga.
 
Rebbeca umetemaa vitu amazing
 
Akit Akitoka Kenya anahamia Nigeria..
 
Ukweli mchungu
Warumi a.k.a Copy ya Mange Kimambi.

Yaani mtu unaumizwa na maisha binafsi ya Diamond wakati huo huo kuna ndugu yako wa karibu anayeishi maisha ya ovyo unashindwa kumshauri.

Umezungumzia unafki bila kujua hata wewe ni certified mnafki
 

Well said kwa kweli
 
Write your reply...
acha tu awagegede
warumi nawe si unampeodaga "diamond"

Mi napendag wanaume wa kisouth, Xhosa au Zulu , wabongo c saiz yangu bado especially diamond
 
Binafsi couple ya Dai na tanasha naona tanasha kapotea sana. That innocent girl hakupaswa kuwa na daimond, angepaswa kuwa na mwanaume aliyetulia anayejua thamani ya upendo wa mwanamke. mond amepitia maisha mengi machafu ila good girls always live bad boys bitch!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…