Yaliyojiri BOT: Kongamano la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na India

Yaliyojiri BOT: Kongamano la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na India

Mkuu Chuakacha, pole kwa kuumizwa na jibu langu, ila kiukweli mimi natoka Kanda ya Ziwa, kabila langu ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda wanawake na kupenda watoto, haijalishi ni watoto wako au ni wakusaidiwa, kwa sababu tuna wanawake wengi, na watoto wengi, na hatumaindi kusaidiwa, ila watoto wote ni wetu na tunawapenda!.

Mimi mwenyewe japo naishi Bongo, wife wangu anaishi US, mimi na wife wangu wote ni weusi, ila mmoja wa kabinti kangu kalichozaliwa US ni keupe kutokana na hali ya hewa ya kule!, kabinti haka ndio my favorite kid!, hivyo usimaind sana comments zangu, zingatia tuu hoja zangu za msingi!.

Watanzania tumejaaliwa fursa kibao nchini mwetu, ila sisi ni wavivu, kuanzia kufikiri hadi kutenda!, tunapenda sana kulala tuu bila kufanya kitu, wakitokea wageni kuchangamkia fursa badala ya kushukuru, wamekuja kufanya kile sisi tulichoshindwa, tunaishia kulalamika na kuwalalamikia!, na tukiachiwa kufanya, tunaishia kushindwa!.

Fanya kazi, get rich, or die trying!.

Paskali
HIVI WEWE NDIO VERIFIED USER AU UMENG'AKA MAHALI MANA NINA MASHAKA NAWE
 
You might be telling the truth or not. Let me believe your words with regard to watoto! Paskali ukiwa mbali na mke wako kwa umbali huo, lazima ukubali yote na ujifariji. How, kwa kutojali whatever comes out! Labd Paskali nakuona vibaya, it might be uko kwenye miaka ya ujana! I am over sixty, siwezi toa mfano kama huo mbele ya watoto, na kwenye kadamnasi . Tuyaache.

Paskali fursa zipi za wazi? Sidhani kama kuna mtu bado amelala era hii! Nakumbuka Mzee Mkapa alikuwa anaimba kama ulivyo nanga hizo fursa na hapo kwenye red, aliishia kufanya biashara akiwa Ikulu (kinyume na maadili) na kujiuzia Kiwila.

Kama fursa zingelikuwa kama unavyozinadi, asingelijiingiza kwenye maovu hayo makubwa! Fursa zingelikuwa wazi hivyo, wizi wa serikalini usingelikuwa to that magnitude! Paskali, mikopo imekuja juzi. Ndio unaona barabara zimejaa magari , boda boda etc. Wakati naajiliwa 1983, shuleni kwetu hakukuwa hata mwalimu mwenye baiskeli! Baadaye ndiyo BCU wakatoa mikopo kwa walimu tukapata baiskeli. Nikahama, nikaja kwenye shirika la Umma. Kulikuwa na watu wana PhD, Masters, well educated, alikuwa ni mmoja aliyekuwa na gari baada ya kutoka UK kwenye PhD studies. Hapakuwa na mikopo, fursa hazikuwepo. Salaries were too low to make any progress unless you swindle public funds!

All in all, kwa fursa za mikopo kwa sasa, nawahimiza vijana wasiogope mikopo, watumie fursa ya hiyo mikopo.
Paskali wasukuma wanauana sana kwa wivu unaposema hatumaind, sikubali!
Kazi njema!
Wakora Waitu..!
 
Mkuu, hawa jamaa waliletwa Tanzania kama vibarua wakati wa ujenzi wa reli ya kati kati ya Tanzania kati ya mwaka 1905-1914 enzi hizo Tanzania ikiwa chini ya utawala wa Mjerumani!. Hii ilifuati vibarua wa kiafrrika, wakiisha lipwa tuu mshahara, hawaji tena kazini mpaka fedha zao ziishe!.

Naomba kunukuu toka Wiki, "The Indian population in Tanzania expanded under British rule. Cheap indentured labour was brought, mainly from Punjab, for the construction of the railway, and while the majority of the railway workers returned to India after its completion, some remained. Other Indians arrived, from Gujarat, Punjab and Goa, drawn by the opportunities created by the opening of the railway". mwisho wa kunukuu!.

Paskali.
Mlilipwa posho sh..ngapi kwenye hilo kongamano?
 
Mlilipwa posho sh..ngapi kwenye hilo kongamano?
Tulilipwa hela nyingi sana!, kila mtu alitengewa 50,000/= ila zikanunulia chai na chakula cha mchana, zikaisha zote!, wakati wa kuondoka tukapewa vipeperushi!.

Paskali.
 
Back
Top Bottom