G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Bunge maalumu la katiba limegeuka kijiwe cha wahuni ambao wanaibua hoja za kijinga kabisa na kuanza kubishana!
Wengie mpaka wanatoa machozi eti wakililia kura ya wazi! huu ni uhuni uliopitiliza!
Watu mmepiga kura ya siri kwa miaka hamsini leo mnalia kuomba kura ya wazi! shame on you!
Nini ajenda yenu ya siri kwa hili?
Muda umefika tumeanza kuishiwa uvumilivu kwa upuuzi huu unaoendelea! Tutawashukia sasa!
Wadau, muda wa kulea wajinga umeshatutupa mkono! Sasa tuongee kwa viboko!
Shame!!!!!!!
Wengie mpaka wanatoa machozi eti wakililia kura ya wazi! huu ni uhuni uliopitiliza!
Watu mmepiga kura ya siri kwa miaka hamsini leo mnalia kuomba kura ya wazi! shame on you!
Nini ajenda yenu ya siri kwa hili?
Muda umefika tumeanza kuishiwa uvumilivu kwa upuuzi huu unaoendelea! Tutawashukia sasa!
Wadau, muda wa kulea wajinga umeshatutupa mkono! Sasa tuongee kwa viboko!
Shame!!!!!!!
