Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

la kwanza ni lile la twiga kupanda ndege bila kuonekana na sasa lingine la pili ni kipiga kura kokote duniani wakati hata uraia wa inchi mbili hawataki hii ndo tanzania yetu ya amani

Mkuu umenifanya nitabasamu kidooogo..
 
Mpongezane kwakuwa mnakula nao jasho la watanganyika lkn kunasiku mtawasaidia kutoa maelezo juu ya ujinga wao huo.
 
Dah.mahakama ya kazi inaenda kuchinjiwa maca!tena itakua siku ya kuchinja.

Mkuu,nafikiri pale macca ndipo lilipo kaburi la mtume,mamilioni ya waislamu wamejaa,na pale uchinjanji wa mahakama ya kadhi utafanyika, ni furaha iliyoje kwetu sisi,anyway,hao wanaoenda kuhiji hiyo hela wangeitumia kwenda beach, wera! Wera vita ya msalaba
 
Ngoja tuendelee kuutazama huu usanii wa magamba.Cha msingi maandamano yako palepale.
 
Nchi hii haikosi vituko. Watu wameacha kufukiri kwa kutumia vichwa sasa wameamua kutumia matumbo. Eti ni nchi ya kwanza kupiga kura hata kama uko Mecca. Ni vizuri tukajitafakari mambo tunayojinadi kuwa wa kwanza ambayo mara zote ni ya kipuuzi puuzi tu. Mbona hatuwi wa kwanza kwenye utajiri, elimu, michezo, demokrasia, utu, nk. Sisai ni wa kwanza dunia kuchakachua demokrasia, kuua albino, kuzuia maandamano, kuchakachua rasimu ya wananchi, ufisadi, nk
 
Leo ktk bunge la kihuni, sitta-mbali na kuchakachua kanuni amesema(si nukuu); Haitakuwa na maana kwa muda walioutumia wajumbe kujadili na pesa walizotumia halafu wakapiga kura ya 'hapana'.
Kwamba wasijali hii itakuwa katiba bora sana na ya mfano Africa.
This is really brain washing !

wanafanya uhunihuni tu!, 6 ni muhuni!
 
Ni kweli Mkuu. Mwenyekiti Sitta yupo makini sana kwa leo. Anajaribumkuwaweka sawa wabunge wqnapoteleza. Anamhoji Arfi kama ni sahihi kura zipigwe zaidi ya siku 300 ilhali fedha za walipa kodi zinateketea. Anasema kuwa Arfi anaheshimika kitaifa hivyo ni vema akatunza heshima aliyo nayo

Mimi namuona leo kama kawa mbabe sana na anaingilia sana michango ya wajumbe na hasa walio kinyume na anavyotaka yeye ukizingatia amewaeleza wajumbe wapige kura ya kukubali hii kitu wakati anahitimisha michango ya wajumbe kwa asubuhi ya leo

The Listener
Ex Detective
 
Kama ni hivyo maana ya akidi ni nini? kuna umuhimu gani wa kuwa na akidi ilihali popote ulipo unaweza kushiriki? Basi tuwaruhusu wajumbe wa BMK hiyo siku ya upigaji kura wakafanye shughuli nyingine za kujenga taifa, huko jengoni awepo sitta na makatibu wake tu wakusanye kura kwa mtandao basi.

Mkuu huu ni utaratibu wa kawaida sana, rejea " Roberts Rules of order , tenth edition",In brief ni kuwa, inaruhusiwa bila shaka yoyote kutumia njia ya mawasiliano kupata kura za watu wasiokuwepo kwenye mkutano maalumu li kutimiza akidi au kupitisha jambo lolote ikiwa ni lazima kufanya hivyo.

Kama hujui Kaa kimya.

Katiba Itapita, na wananchi wataipigia kura ya ndio. Utake ni hivyo usitake ni hivyo. Nenda kaandamane.
 
Naam, tunataka Katiba, wanaoandamana wao waendelee tu kuutafuta umaarufu.

Haya! Na nyie endeleeni kutunga katiba ya CCM kisha muilete hapa uraiani tuipigie kura ya HAPANA tuendelee na katiba ya 1977. Serikali ya UKAWA itatupa katiba ya wananchi mwaka 2016.
 
kwenda kuhiji siyo kutafuta laana mkuu, labda kama haujui thamani ya kuhiji. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum wao ndiyo wameomba waruhusiwe kupiga kura wakiwa huko, tusiwapotoshe wananchi.

sijasema kuwa ambao hawapo wanatafuta maana, utakua umenielewa ndivyo sivyo.
 
Si walisema Katiba haiwezi kupatikana nje ya Bunge!! Mbona wanatengua kanuni ili waipate nje ya hilo bunge lao?
 
Hili la kubadili kanuni kila mara pale tunapokumbana na changamoto naliona ni zuri sana.

Itabidi sasa tuwe na utaratibu kila Rais akiingia madarakani apime changamoto zote na aandike katiba itakayo msaidia atawale vizuri na kuondokana na changamoto za wapinzani.

Katiba hiyo ipige marufuku kelele zozote zitakazo kwenda kinyume na matakwa yake.
 
Back
Top Bottom