Wanabodi,
Mwenyekiti wa muda wa Bunge maalum la Katiba anataka kuhairisha kikao kwani rasimu haijatimia, wajumbe wengi hadi ilipofika saa kumi kamili viti vingi vilikuwa wazi
Kificho analalamika kuhusu wajumbe kumzomea pindi anapoongea.
bunge limeanza na vituko
Hakuna mtoto mdogo zaidi ya ccm..hahaha ili bunge dah.