Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014



Yani Mi cjui wanataka kufanya nini hata! Serikali legelege ndiyo faida yake hii!
 

Onyesha wapi wanapitisha katiba kwa kura ya siri.kwa kuwa wewe ni mtaaalamu wa uzoefu duniani geogle us congress votes database uone jinsi wenzako wanavyoweka kumbukmbu ya upigaji kura wa kila mbunge.huwezi kutetea ulaghai huu wa kura za siri.
 

hivi jamani mbona maandalizi ya bunge hili yupo rejareja sana, mbona hatuko serious na mambo muhimu kila wakati kuhairisha tutafika?
 
Tanganyika halisi na ni muumini wa serikali 3, yaani 1 ya Tanganyika, nyingine ya Zanzibar na ya 3 ni ya shirikisho la hizi mbili.

Tumeingia kwenye mchakato huu KATIBA MPYA wakati wenzetu Zanzibar tayari ni NCHI. Kazi ipo.
 
Tumeingia kwenye mchakato huu KATIBA MPYA wakati wenzetu Zanzibar tayari ni NCHI. Kazi ipo.

Hata sisi ni nchi, sema uchama ndo unatuponza na baadhi ya watu kama pinda wanaoukana uraia wao hadharani
 
Jaman mashine za kutoleo photocopy za bungen zimefanyeje wadau? Coz nashindwa kuwaelewa, au rim papers hamna?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Umeme wametukatia huku jaman, yaan hii nchi kila sekta inaulemavu wake wa asil.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Inanavyoonekana ccm hawataki katiba mpya, ushauri wangu...CCM Hakuna haja ya kumaliza kodi za watanzania chamsingi rudini kwenye majimbo yenu na muwaambie watz kuwa CCM HATUTAKI KATIBA MPYA
1.INAWABANA WATOTO WETU WASIJE KUWA WATAWALA
2.UWAZIRI WA KUTEULIWA NI MTAAMU SANA KULIKO WA KUGOMBANIA
3.HII NCHI NI YA CCM TU HAKUNA CHAMA AMBACHO KITATAWALA, KWANI HIKI CHAMA KIMETOKA KWA MUNGU.
4. n.k
 
hivi jamani mbona maandalizi ya bunge hili yupo rejareja sana, mbona hatuko serious na mambo muhimu kila wakati kuhairisha tutafika?

Wasomi wa Tanzania hata ukiwaambia wakupe mbinu ya kudhibiti nywele zisirefuke zaidi ya kitana wataunda kamati ya wiki 2 ili waje na jawabu la 'kisomi' mradi kila mtu ana hoja na inaweza kuandikwa ripoti yenye kurasa 300 eti kwa vile tu mwanasheria mkuu aliwahi kusema "kichwa kazi yake si kufugia nywele tu"Kodi zetu wajinga ni chakula chenu wasomi kuleni tu lakini jueni mkizoea kula, nanyi siku moja mtaliwa maana "Ukitaka kula lazima nawe uliwe"HE JK

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wadau, zikiwa zimebakia dakika tano, wabunge wengi wanaingia ukumbini tayari kwa shughuli iliyo mbele yao
 
Chabruma Chabruma, unanipata mkuu? muda umetimu, hebu niambie nini kinaendelea hapo kwa sasa
 
Last edited by a moderator:
Ninahisi ikifika hiyo saa kumi na mbili kikao kitagubikwa na vurugu hatimaye kuahirishwa hadi kesho.
 
Sasa watapiga kura gani kuamua kama wawe wanapiga kura za wazi au za siri?
 
Mwwnyekiti ameingia ukumbini na sasa yupo kwenye kiti chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…