Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Bunge la kijinga hili tangu mwenyekiti mpaka wabunge! Ni Ze Komedi hamna lolote la maana. Bora wangeteua walimu ndo wafanye kazi hiyo labda tungepata katiba nzuri.
 

Maamuzi makubwa ya mustakabali wa taifa hayawezi kuachiwa mtu mmoja eti kwa hekima yake!!?? No that is impossible.
 
Simiyu yao ni MBUNGE? Mawazo mgando hivyo? Tuna haki ya kuwapiga risasi wote maccm!
Kumbe ccm ndiko walikojaa wajinga, au ndo elimu ya kivukoni?
 
Simiyu yetu ni mwandishi wa habari yuko bungeni anajitia apa yeye ni mbunge eti naenda kulala dodoma hotel wakati unaoneka vi gest uchwara vya makole
 
kuna usanii, usaliti na unafiki katika huu mchakato
 
hahahahaha yaani ukisoma comment za wadau ni vichekesho yaan ma2c mtndo m1, binafsi nimeshdwa

kuchangia kiukweli........
 
Simiyu yao ni MBUNGE? Mawazo mgando hivyo? Tuna haki ya kuwapiga risasi wote maccm!
Kumbe ccm ndiko walikojaa wajinga, au ndo elimu ya kivukoni?
Mmezoea kuuwa eee! Wangwe atosha hamtaua tena.
 
Simiyu yetu ni mwandishi wa habari yuko bungeni anajitia apa yeye ni mbunge eti naenda kulala dodoma hotel wakati unaoneka vi gest uchwara vya makole
Mkuu unataka kujua nilipo? Karibu sana nipo peke yangu lakini mito ipo miwili karibu sana.
 
Wakuu siku ya leo tutaendelea na bunge la katiba ambapo kazi kubwa iliyosalia ni kusomwa kwa azimio la kupitisha kanuni ambazo tumezijadili karibu wiki tatu sasa.

Baada ya kazi hiyo kukamilika kama mwenyekiti wa mda ataona inafaa tunaweza kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa kudumu ambapo mzee wa viwango na spidi anatarajiwa kuwa mgombea pekee.

kama mda hautatosha yawezekana uchaguzi ukawa kesho au siku yoyote uongozi utakavyoona inafaa.
 
tutaahirisha bunge tena mpaka jioni ili kamati ya majadiliano imalize. jioni tena tutaahirisha hadi kesho ili ile kamati imalize kanuni. kesho tena tutaahirisha ili kanuni zichapwe za kutosha. tena bunge litaahirishwa hadi siku nyingine ili kuruhusu kupitia rasimu. 300,000/= oyyeeeeeee
 

Asanteee!Ila mpunguze tu UCCM,taifa kwanza chama baadaye!
 
Wakuu naomba kuwa wazi tangu nianze kuhudhuria vikao mbali mbali hiki cha bunge la katiba ni kiboko hata watu wazima tunaowaheshimu kabisa wamekuwa kama watoto du! Hii pasua kichwa any way tutafika kwa namna yoyote ile.

Hatimaye umetokea!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…