shoto joseph
Member
- Mar 9, 2014
- 5
- 0
Hao wanataka pesa siyo katiba rais fukuza wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we mkund wazi acha dharau wewe,hapa kila mtu analipa kodi,hizo hela sio za mama ako
kila mtu anayetukana ni bavsha au.... kiazi weweBavicha huyo!dúh kazi ipo
mshamba wewe bwana wako mwigulu mzmaBavicha huyo!dúh kazi ipo
Swala hili nimeonekana kutishia umoja wa bunge la katiba, hasa maana yapo makundi mawili makuu yenye kuvutana kuhusu ama kura ya wazi ama ya siri, nadhani hekima iliyo onekana ni kuachia "Hekima" ya mwenyekiti kuamua aina ipi kutumika kila inapofikia wakati wa kuamulia jambo fulani huenda kwakusoma mazingira na uzito wa jambo lenyewe, kitu ambacho ninakielewa, ingekua vibaya sana kuachia hili kugawa bunge katika hatua hizi za mwanzo namna hii, hataivyo, hii huenda ikawa kama kuhairisha matatizo kwakuwa ninaona mwanya wa shida kutokea mbeleni pale ambapo mwenyekiti wakudumu ata amua juu ya namna ya kupiga kura kwa kufuata matakwa ya chama flani kinyume na vile ambavyo wengi wangetegemea kulingana na hali iliyopo, hivyo kutoa moral right ya upande mwingine wa wabunge ku riot. kwakifupi ninasema ninaelewa mazingira yaliyo pelekea kufikia kutungwa na kupitishwa kwa kanuni hii ila ninasema itategemea sana uthabiti wa "hekima" hiyo ya mwenyekiti wa bunge. lazima atambue nafasi yake na asikubali kuyumbishwa na influence za vyama. comrades, nashukuru
Haya matusi mbona madogo sana mmeishiwa matusi nini hebu ongeza lingine make hili dogo sana.mshamba wewe bwana wako mwigulu mzma
Mmezoea kuuwa eee! Wangwe atosha hamtaua tena.Simiyu yao ni MBUNGE? Mawazo mgando hivyo? Tuna haki ya kuwapiga risasi wote maccm!
Kumbe ccm ndiko walikojaa wajinga, au ndo elimu ya kivukoni?
Mkuu unataka kujua nilipo? Karibu sana nipo peke yangu lakini mito ipo miwili karibu sana.Simiyu yetu ni mwandishi wa habari yuko bungeni anajitia apa yeye ni mbunge eti naenda kulala dodoma hotel wakati unaoneka vi gest uchwara vya makole
Wenye matusi wote bavicha hutaki unaacha.kila mtu anayetukana ni bavsha au.... kiazi wewe
Wakuu siku ya leo tutaendelea na bunge la katiba ambapo kazi kubwa iliyosalia ni kusomwa kwa azimio la kupitisha kanuni ambazo tumezijadili karibu wiki tatu sasa.
Baada ya kazi hiyo kukamilika kama mwenyekiti wa mda ataona inafaa tunaweza kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa kudumu ambapo mzee wa viwango na spidi anatarajiwa kuwa mgombea pekee.
kama mda hautatosha yawezekana uchaguzi ukawa kesho au siku yoyote uongozi utakavyoona inafaa.
dada shkamoo!
naomba uongee na huyo jamaa asituharibie mood hapa.
Wakuu naomba kuwa wazi tangu nianze kuhudhuria vikao mbali mbali hiki cha bunge la katiba ni kiboko hata watu wazima tunaowaheshimu kabisa wamekuwa kama watoto du! Hii pasua kichwa any way tutafika kwa namna yoyote ile.