Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Bunge limeahirishwa tena muda huu ili kuipa kamati ya kanuni muda wa kujadili na kuwasilisha mapendekezo ya kanuni za kuliongoza bunge la katiba. Hivi kweli muda uliobaki utatosha kutuletea katiba mpya?
 
Mkuu chabruma hili ndilo bunge la katiba bwana ngoja mi nitoke naenda zangu dodoma hotel kupumzika make hii ni balaa ila katiba tutaipata tu.
Aliyekuuliza habari ya hotel ni nani hapa?; malofa na malimbukeni wana tabu sana wewe nenda kwenye guest uliyofikia tu.
 
Ule ubabe wa ccm kwenye bunge la kawaida bunge hili kimya dadadeki
 
kwa sababu wana busara pia hutumika kukiwa na mushikeli kutuliza hali ya hewa
 
Mbowe jembe,lipumba na mbatia ni sawa na kauli ya kwenye msafara wa mamba na genge wamo
 
Bunge limeahirishwa tena muda huu ili kuipa kamati ya kanuni muda wa kujadili na kuwasilisha mapendekezo ya kanuni za kuliongoza bunge la katiba. Hivi kweli muda uliobaki utatosha kutuletea katiba mpya?

Limeahirishwa hadi lini?
 
Hawa jamaa kama hakuna ile NDIYOOOOOOO, huwa hawawezi kufurukuta. Huku kinachotakiwa ni nguvu ya HOJA.
 
Kwakuwa inaonyesha itachukua muda mrefu kupata maridhiano ya kura ya siri au ya wazi basi tufanye hivi kwavile kura zote ni halali siri inakubalika na wazi inakubalika wate wapewe uhuru anaeteka ya wazi apige ya wazi na anaetaka ya siri apige ya siri hivyo napendekeza mifumo yote itumike anaetaka siri apige na anaetaka wazi apige sisi wananchi ndo tutaamua sioni haja ya kuwa na malumbano wakati hakuna mfumo batili yote inakubalika basi uhuru uwepo wa mjumbe kujiamulia atumie njia ipi kadri moyo wake unavyomtuma.
 
Wakuu naomba kuwa wazi tangu nianze kuhudhuria vikao mbali mbali hiki cha bunge la katiba ni kiboko hata watu wazima tunaowaheshimu kabisa wamekuwa kama watoto du! Hii pasua kichwa any way tutafika kwa namna yoyote ile.

Umechelewa sana kutambua hilo..

Sisi tulishaona kitambo..Ila sababu akili zenu fupi mnaendekeza ushabiki..

Siwezi kuheshimu -------- yeyote kutoka CCM..

Mmeonyesha wazi ni namna gani msivyokuwa na huruma kwa Wa-Tanzania..

posho ya leo ingeweza kununua vitanda muhimbili..

Nyie ni wa kutandika risasi qumanna zenu..

F@kin CCM..
 
Duh! Pesa nyingi nyingine ya walipa kodi imepotelea chini leo!
 
Chambua mchele utuletee tule, achana na pumba. Chambua hoja za Bungeni tuletee jukwaani tujadili achana na matusi ya bungeni.

Kwani katika maisha yako ndiyo mara ya kwanza unasikia matusi?
 
Laki tatu imeingia mifukoni huku wananchi tumebaki tunang'aa ng'aa macho pasipo kujua ni kazi gani iliyofanyika kwa siku nzima.
 
qumamamaee hili li Nchi ukombozi uko mbali sana..Yani nilijua hiki ndiyo kinachofuata..

kwanza wakati wa kugawa kanuni hazikutosha.. Wakati idadi ya wajumbe inajulikana..

Wamepewa bado wanahitaji kuzipitia..

Mbona ni utaratibu ambao uko wazi sana???

hii mipumbavu inamaliza kodi zetu tu..Huwezi kuwaita wasomi wakati wanajadili mambo kijinga jinga..

Hapa hakuna katiba wala nini kwa usenge huu..:thumbdown:
Mkuu, matusi ya nini tena? Au wewe ulitakaje?
 
Back
Top Bottom