Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuuliza habari ya hotel ni nani hapa?; malofa na malimbukeni wana tabu sana wewe nenda kwenye guest uliyofikia tu.Mkuu chabruma hili ndilo bunge la katiba bwana ngoja mi nitoke naenda zangu dodoma hotel kupumzika make hii ni balaa ila katiba tutaipata tu.
Bunge limeahirishwa tena muda huu ili kuipa kamati ya kanuni muda wa kujadili na kuwasilisha mapendekezo ya kanuni za kuliongoza bunge la katiba. Hivi kweli muda uliobaki utatosha kutuletea katiba mpya?
Aliyekuuliza habari ya hotel ni nani hapa?; malofa na malimbukeni wana tabu sana wewe nenda kwenye guest uliyofikia tu.
mbowe jembe,lipumba na mbatia ni sawa na kauli ya kwenye msafara wa mamba na genge wamo
Wakuu naomba kuwa wazi tangu nianze kuhudhuria vikao mbali mbali hiki cha bunge la katiba ni kiboko hata watu wazima tunaowaheshimu kabisa wamekuwa kama watoto du! Hii pasua kichwa any way tutafika kwa namna yoyote ile.
Da! Mkuu tafadhali hasira zote za nini sasa taratibu jamani tuishi kwa adabu.Natamani paa hilo liiporomokee hiyo miji2 yote iliyoko bungeni! Ili tuanze upya!
Mkuu, matusi ya nini tena? Au wewe ulitakaje?qumamamaee hili li Nchi ukombozi uko mbali sana..Yani nilijua hiki ndiyo kinachofuata..
kwanza wakati wa kugawa kanuni hazikutosha.. Wakati idadi ya wajumbe inajulikana..
Wamepewa bado wanahitaji kuzipitia..
Mbona ni utaratibu ambao uko wazi sana???
hii mipumbavu inamaliza kodi zetu tu..Huwezi kuwaita wasomi wakati wanajadili mambo kijinga jinga..
Hapa hakuna katiba wala nini kwa usenge huu..:thumbdown: