Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Umechelewa sana kutambua hilo..

Sisi tulishaona kitambo..Ila sababu akili zenu fupi mnaendekeza ushabiki..

Siwezi kuheshimu -------- yeyote kutoka CCM..

Mmeonyesha wazi ni namna gani msivyokuwa na huruma kwa Wa-Tanzania..

posho ya leo ingeweza kununua vitanda muhimbili..

Nyie ni wa kutandika risasi qumanna zenu..

F@kin CCM..
Watoto waliokosa malezi ndivyo mlivyo ngoja tuwaachie wazazi wako waendelee kukulea kwanza ili uwe na akili za kiutu uzima kwanza kwa sasa najua ni mtu wa kuvishwa nepi hata kuvaa hiyo nepi hujajua.
 
Sasa ikifika kujadili katiba hasa muundo wa serikali si watakufa watu?
 
Watoto waliokosa malezi ndivyo mlivyo ngoja tuwaachie wazazi wako waendelee kukulea kwanza ili uwe na akili za kiutu uzima kwanza kwa sasa najua ni mtu wa kuvishwa nepi hata kuvaa hiyo nepi hujajua.

Wewe ndiyo mwenye akili..Mnacheza na pesa zetu bado mnatuona waninga!!

Unajua posho ya kwa wajumbe wote kwa leo ni kiasi gani??

halafu mmeishia kugawa kanuni!!

Kwa **** kama wewe na CCM wenzio iko siku..Mtajuta..
 
Wewe ndiyo mwenye akili..Mnacheza na pesa zetu bado mnatuona waninga!!

Unajua posho ya kwa wajumbe wote kwa leo ni kiasi gani??

halafu mmeishia kugawa kanuni!!

Kwa **** kama wewe na CCM wenzio iko siku..Mtajuta..
Pesa zenu! Wewe unahela gani unayochangia serikali wakati umekwenda kalenga kumwagia watu tindikali na jamaa zako wa bavicha akina mida 8
 
Mkuu, matusi ya nini tena? Au wewe ulitakaje?
Chabruma hivi ni sahihi kabisa hili bunge kwenda kwa style hii?

Mimi nilitaka wasiendelee kupoteza muda..Wameshapoteza siku 20..
 
Last edited by a moderator:
Wazo


Ili kuleta umoja wa kitaifa na

Kwa Kuwa kuna wa TZ hawapati hata buku kwa siku na huku wanalijenga taifa,

Kwa Kuwa uwepo wa posho hauzingatii 'maileji'walio piga kwenye kaz ya katiba,

Na ili kuhakikisha kanuni inapitishwa kesho basi napendekeza kesho KUSIWE NA POSHO ya sitting.
 
Kwakuwa inaonyesha itachukua muda mrefu kupata maridhiano ya kura ya siri au ya wazi basi tufanye hivi kwavile kura zote ni halali siri inakubalika na wazi inakubalika wate wapewe uhuru anaeteka ya wazi apige ya wazi na anaetaka ya siri apige ya siri hivyo napendekeza mifumo yote itumike anaetaka siri apige na anaetaka wazi apige sisi wananchi ndo tutaamua sioni haja ya kuwa na malumbano wakati hakuna mfumo batili yote inakubalika basi uhuru uwepo wa mjumbe kujiamulia atumie njia ipi kadri moyo wake unavyomtuma.


HAPANA! HAPANA! Naomba nikuulize. Ni nchi gani ambayo hupiga kura za wazi ktk dunia hii? Korea Kaskazini umesikia inachokifanya? Unapiga kura ya ndiyo au Hapana lakini kama unataka kupiga kura ya hapana, lazima uingie chumba tofauti. Kwa maana nyingine kura zote ni za wazi.

Tukifuata ushauri wako leo, Usiku wana CCM wote wataitwa na kutishwa kwamba lazima kila member wa CCM apige kura ya wazi. Tunajua wanachokitafuta hawa wazembe.
 
Bunge la katiba lita zinduliwa na kuendelea na kujadili rasimu ya katiba mpya huku upiga wa kura ya wazi ama ya siri ukiwekwa pembeni mpaka hapo itakapo fikia katika hatua hizo,ila mjadala wa rasimu kujadiliwa utaendelea kama kawa
 
CCM bana wanahangaika sana . c kila mcmamo unakuwa wa maana jamani
 
kwa nini ccm wanalazimisha kutaka kura ya wazi kuna siri gani hapo kama kweli mna nia njema na hii katiba kumbeni katiba ni mali ya wananchi siyo mali ya chama washenzi na wahuni wakubwa ccm
 
Back
Top Bottom