MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
ndo ivo tena bao la kisigino ilo, kama ulimsikiliza lukuvi vizuri leo yan pale no objection tena coz kanuni tayari zinzruhusu kamati ya kudumu ya kanuni ili kushugulika na matatizo ya kanuni na tayari ilo la kura ya wazi au ya siri ni tatizo la kwanza wataanza nalo uku mambo mangine yanaendelea . ndo maana umeona mh mbowe, lisu na mnyika walikua kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Una maana wameshalambishwa kipato nini! Tatizo kuna wajumbe wanataka waonekane kuwa na busara kwa kukaa kimya. Ukishafanya kazi na wajinga usitake kuwa na busara.