Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

ndo ivo tena bao la kisigino ilo, kama ulimsikiliza lukuvi vizuri leo yan pale no objection tena coz kanuni tayari zinzruhusu kamati ya kudumu ya kanuni ili kushugulika na matatizo ya kanuni na tayari ilo la kura ya wazi au ya siri ni tatizo la kwanza wataanza nalo uku mambo mangine yanaendelea . ndo maana umeona mh mbowe, lisu na mnyika walikua kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Una maana wameshalambishwa kipato nini! Tatizo kuna wajumbe wanataka waonekane kuwa na busara kwa kukaa kimya. Ukishafanya kazi na wajinga usitake kuwa na busara.
 
kanuni ya 37 na 38 nazo zipo kwenye jeduali au hizo mpaka baada ya sike 28 na kuendelea
 
qumamamaee hili li Nchi ukombozi uko mbali sana..Yani nilijua hiki ndiyo kinachofuata..

kwanza wakati wa kugawa kanuni hazikutosha.. Wakati idadi ya wajumbe inajulikana..

Wamepewa bado wanahitaji kuzipitia..

Mbona ni utaratibu ambao uko wazi sana???

hii mipumbavu inamaliza kodi zetu tu..Huwezi kuwaita wasomi wakati wanajadili mambo kijinga jinga..

Hapa hakuna katiba wala nini kwa usenge huu..:thumbdown:

punguza jazba utaugua vidonda vya tumbo mafisad wabaki
 
yawazi ndio habar ya nchi.za siri wapeleke ufipani

Unapo yaongea Mayo hats nafsi yako inakushuhudia kuwa huo so uzalendo name so democrasia yakweli lakini kwa vile umeolewa name unaitumikia mdoa yako name chama chako cha wabaki huna namna,kura ya wazi ndio mdudu gani??
 
Bunge la katiba lita zinduliwa na kuendelea na kujadili rasimu ya katiba mpya huku upiga wa kura ya wazi ama ya siri ukiwekwa pembeni mpaka hapo itakapo fikia katika hatua hizo,ila mjadala wa rasimu kujadiliwa utaendelea kama kawa
Kama maccm wanataka kuwa vinara wa demokrasia kama ambavyo huwa wabahubiri majukwani, basi wakubali kura ya siri.

Kwani wao si wako wengi? Sasa wanaogopa nini kupigwa kura ya siri, si wao watashinda?

Lakini wasi wasi wao mkubwa ni kuwa zikipigwa kura za wazi watashindwa kuwadhibiti wabunge wao ambao waneweka mbele maslahi ya Taifa kuliko ya chama chao, wakati wafadhihina ndani ya chama chao wanataka wabunge wote wa CCM wapinge ibara zote ndani ya rasimu hiyo, hata kama vina maslahi mapana kwa Taifa letu!!!
 
Pesa zenu! Wewe unahela gani unayochangia serikali wakati umekwenda kalenga kumwagia watu tindikali na jamaa zako wa bavicha akina mida 8

Mnaofanya fujo ni nyie..Mnatekeleza agizo "unyonge sasa basi"

Mnapiga mpaka viongozi wa Dini !!!!

Iko siku mtalipa haya mabaya yote..

Leo nimeumia sana..🙁


Mngeacha posho ya leo kidogo ningewaelewa..

Ila mjue kuna watu wanakosa huduma muhimu..

Maji

Umeme

Madawa

Vitanda mahospitalini

Madawati

Magari ya wagonjwa..nk

Posho ya leo tu..ingeweza kupunguza kero moja wapo (siyo kumaliza)
 
Hii ni KUCHEZEANA hapa nchini. Inatia hasira sana. Watu wazima wanawaona watu wengine kama hamnazo. Bahati mbaya zaidi watu wengine wazima tena wasomi wamekubali kuogopeshwa na wenzao. HII NI AIBU SANA. WATU WANANYIMWA UHURU WAO KISA TU KUHAKIKISHA MATAKWA YA WATANZANIA YANAHUJUMIWA. OLE WENU NA HAMTAFANIKIWA KAMWE.
 
Mnaofanya fujo ni nyie..Mnatekeleza agizo "unyonge sasa basi"

Mnapiga mpaka viongozi wa Dini !!!!

Iko siku mtalipa haya mabaya yote..

Leo nimeumia sana..🙁


Mngeacha posho ya leo kidogo ningewaelewa..

Ila mjue kuna watu wanakosa huduma muhimu..

Maji

Umeme

Madawa

Vitanda mahospitalini

Madawati

Magari ya wagonjwa..nk

Posho ya leo tu..ingeweza kupunguza kero moja wapo (siyo kumaliza)
Umeumia kwenye kufanya fuzo huko kalenga? vipi umetoka damu au umevunjika tu.
 
Mnaofanya fujo ni nyie..Mnatekeleza agizo "unyonge sasa basi"

Mnapiga mpaka viongozi wa Dini !!!!

Iko siku mtalipa haya mabaya yote..

Leo nimeumia sana..🙁


Mngeacha posho ya leo kidogo ningewaelewa..

Ila mjue kuna watu wanakosa huduma muhimu..

Maji

Umeme

Madawa

Vitanda mahospitalini

Madawati

Magari ya wagonjwa..nk

Posho ya leo tu..ingeweza kupunguza kero moja wapo (siyo kumaliza)
Umesahau kuwa aliyetoa hoja ya kuahilisha bunge alikuwa lipumba ukaungwa mkono na mbowe?
 
Nitawashangaa sana Wajumbe wa bunge maalum wakipitisha kanuni hizo kwa mujibu wa mapendekezo ya Lukuvi bila kanuni ya maamuzi. Ikumbukwe utungaji wa sheria ya mabadiliko ya katiba ilivyotungwa kwa mtindo huu na Yale yaliyotokea. Goli linapanuliwa au kupunguzwa kwa kadri mchezo unavyoendelea. Tunashuhudia hatimaye, Tume kuvunjwa Mara tu baada ya kuwasilisha Rasmu Bungeni!

Kwa kweli Wajumbe wakipitisha kanuni kwa mtindo huu nitawashangaa sana. Huwezi kwenda kujadili kitu ambacho hujui utafanyaje maamuzi!
 
Mie pamoja na Mkuu Skype tunawashukuru sana wale wote walioshiriki pamoja nasi. Basi tuwatakie kila la kheri na kama kawaida tutaungana hapo kesho. Alamsiki

kwa kweli mungu awabariki sana kwa kazi. Mmenisaidia sana mm kujua nini kimejiri leo kwaki nimekuwa field vijijini vya muhukuru mpakani na msumbiji hakuna network zaidi ya mcel ya mozambique. Nimesoma page zote kuanzia saa moja na sasa namaliza. Endeleeni hivyo, ila kura nisiri, ingawaje wabunge wote wa mkoa wa ruvuma sijawahi wasikia humo kama wanataka kura za siri au wazi.
 
Ahsante kwa update nipo kampala ila nimepata upadate zote.
 
Back
Top Bottom