Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
attachment.php

attachment.php


Mgombea Urais kupitia Mwamvuli wa CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa, leo atakuwa Wilayani Chato mkoani Geita, mahali alipozaliwa Magufuli.

Walioko huko wanasema mji unazizima kwa ujio wa gwiji wa siasa za Tanzania na rais mtarajiwa, toka jaana vijana na Wazee mjadala ni ujio wa rais wa awamu ya tano Edward Lowassa.
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    30.5 KB · Views: 7,658
Nilipita hapo Geita jana mtaa wa soko kuu niliona watu wengi sana wamezingira bango la UKAWA lililokuwa limeandikwa LOWASA TUSAIDIE SISI WACHIMBAJI WADOGOWADOGO. Kwa sasa niko hapa Chato rais anatarajiwa mchana lakini mji umeshazizima. Nimelala Geita pia kulikuwa na mkesha wa Lowasa uwanja wa MAGEREZA.
 
Niko chato ntaenda kwenye mkutano zikiwa zmebaki dk5 mkutano kuisha sababu na jua jamaa ataongea dk2 tu nakuondoka
 
Watu wa chato hawana ubaguzi kama wale wa kiskazini. Watampokea na kumskiliza. Watu hawa si wale wanabaguana hata huko kwao jijini arusha kwa kuitana Arusha Asili na Arushamoshi. Hii tabia ya watu wa chato inanipa Tumaini kuwa Magufuli atawatumikia watanzania wote bila kuwabagua.
 
Niko chato ntaenda kwenye mkutano zikiwa zmebaki dk5 mkutano kuisha sababu na jua jamaa ataongea dk2 tu nakuondoka

We ngombe. Miaka 50 ccm wameongea dk ngapi na wamefanya nn.
WATZ WANATAKA MABADILIKO
 
Niko chato ntaenda kwenye mkutano zikiwa zmebaki dk5 mkutano kuisha sababu na jua jamaa ataongea dk2 tu nakuondoka

hahaha mkuu kwani si kuna yule mheshimiwa aliyeiba ardhi moro??
 
Chato hakuna ngome ya Magufuli ni ngome ya CHADEMA uliza uchaguzi S/Mitaa 2014 matokeo yalikuwaje?
Men and women lies but number doesn't lie.
ccm lies but tanzanians dont lie coz they are going to punish them
dont WANATAKA MABADIRIKO
 
Yule Kokoro wao Arusha alipita kwa ndege.. hata barabara hakuthubutu.. Na yule Mama yao pia hakufanya mkutano wowote Arusha, akakimbilia Longido kununua wamasai. Lowassa anaenda kumpiga kokoro mpaka chumbani kwake... hahahahaha Chama Cha Mashoga lazima kipanic
 
Pipoooz.yaan mwaka huu ni wa kwetu UKAWA na jembe letu EDO
 
Back
Top Bottom