Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Ukawa waiteka ngome ya CCM Tabora........
Bashe kura za ubunge nipeni mimi za Uraisi Lowasa.........

Hizo porojo za UKAWA nadhani majibu yake mliyapata. Hata hili majibu yake mtayapata endeleeni kuishi kwa matumaini
 
Kuna Jamaa yangu anasema Lowassa anakubalika sana kule Pia Chadema kule ni kama Nyumbani.

Ujio wa Lowassa Chato umekuja kuchukuwa Kura za Vijana na wamama. Maana wazee ambao sio wengi ni Magufuli Pure sababu katoka CHATO!
 
Ukawa waiteka ngome ya CCM Tabora........
Bashe kura za ubunge nipeni mimi za Uraisi Lowasa.........

Hizo porojo za UKAWA nadhani majibu yake mliyapata. Hata hili majibu yake mtayapata endeleeni kuishi kwa matumaini

hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NA KINA WEMA?????


MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.

LOWASSA ni habari nyingine.
 
Updates za nyumbani kwao ni muhimu sana huyo Rais wa sera ya Libya na Mabarabara.
Baada ya Oktoba ataenda kuwa Rais wa mizani sasa.
 
Nilipita hapo Geita jana mtaa wa soko kuu niliona watu wengi sana wamezingira bango la UKAWA lililokuwa limeandikwa LOWASA TUSAIDIE SISI WACHIMBAJI WADOGOWADOGO. Kwa sasa niko hapa Chato rais anatarajiwa mchana lakini mji umeshazizima. Nimelala Geita pia kulikuwa na mkesha wa Lowasa uwanja wa MAGEREZA.
Chato inachemka,naona katibu mwenezi anamwaga sera
 
Magufuli ni king'amuzi,JK ndio rimoti,Magufuli ni kufuli na Lowassa ni funguo.
 
Unatumia ID kibao na unagundulika kirahisi tu. Huna lolote wewe!
 
1442392168319.jpgView attachment 2874301442392168319.jpgView attachment 2874301442392168319.jpgView attachment 287430
 
Huyu fisadi hana jipya atazomewa kila sehemu hafai ni fisadi tu.
 
Chinembe na Ryaro mnafanna miandiko. Mlisoma shule moja?

Walizaliwa tumbo moja,mama mmoja na baba mmoja,wakazaliwa dakika moja,hivyo 100% wanafanana kila kitu maana mmoja ni mwingine.
 
Huyu fisadi hana jipya atazomewa kila sehemu hafai ni fisadi tu.


Kuleni neema hapo Lumumba ila mwisho wa MAFISADI nchi hii ni tarehe 25 October,CCM hata Mungu anawashangaa mnatumia nguvu kubwa kurudi madarakani wakati miaka hamsini mmeshindwa,watoto wa shule wanakaa chini,akina mama hospitali wanalala wawili mpaka wanne wakati nyie matibabu ni nje ya nchi.Bring our country na hii ndiyo demokrasia
 
Yule Kokoro wao Arusha alipita kwa ndege.. hata barabara hakuthubutu.. Na yule Mama yao pia hakufanya mkutano wowote Arusha, akakimbilia Longido kununua wamasai. Lowassa anaenda kumpiga kokoro mpaka chumbani kwake... hahahahaha Chama Cha Mashoga lazima kipanic


jiandae kisaikolojia kuongozwa na CCM kwa miaka mingi.
 
Kuna Jamaa yangu anasema Lowassa anakubalika sana kule Pia Chadema kule ni kama Nyumbani.

Ujio wa Lowassa Chato umekuja kuchukuwa Kura za Vijana na wamama. Maana wazee ambao sio wengi ni Magufuli Pure sababu katoka CHATO!

Ushakunywa mbege.......!!!!!
 
Wakati akiwa kwenye helikopta kuelekea Chato,Lowassa ilibidi avuruge utaratibu kdogo na kuwasalimia raia mamia waliojua kwamba atatumia anga lao akielekea jimbo la Chato,hali hiyo imetokea muda mchache hapa maeneo ya Nyang'ware nje kidogo ya mji wa Geita ambapo kundi kubwa la wazee,vijana na watoto walisimama kwa wingi wao huku wakionesha ishara ya mabadiliko kwa helikopta hiyo iliyokua ikipita juu ambapo mzee alimwamuru rubani ashuke kwa dakika kadhaa ili awasalimie wapiga kura na kisha kuwaidi atapita akitoka chato,mzee tayari ameendelea na safari yake jimboni Chato
 
Back
Top Bottom