Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Hanaga zarau kama yule aliyewambiwa watu wa kigamboni waogeleye!
 
Mgombea Urais wa Chadewma kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa, leo atakuwa Wilayani Chato mkoani Geita, mahali alipozaliwa Magufuli.

Walioko huko wanasema mji unazizima kwa ujio wa gwiji wa siasa za Tanzania na rais mtarajiwa, toka jaana vijana na Wazee mjadala ni ujio wa rais wa awamu ya tano Edward Lowassa.

Jamani mbona morogoro hajamaliza amma anaogopa kuzima ghafla maana uroboti hausomeki.
 
Wapiga Kula? Au Kura? Alipanda ndege au chopa?

Jipange ulete habari ya kueleweka

Mimi sehemu ninayotokea mabasi,maroli,matrekta n.k. yote huwa tunaita magari,helikopta, chopa ,fastjet,parachuti n.k. huwa zote tunaziita ndege
 
Nawataka wana Chato waende kwa wingi wakaujaze uwanja wa mkutano tena wa madhehebu yoote!Ili kumuonyesha kuwa Chato hakuna ukanda wala udhehebu! Kura kwa Magufuli kwani tunamuamini
"Hapa kazi tu"
 
Hanaga zarau kama yule aliyewambiwa watu wa kigamboni waogeleye!

Hivi siku hizi shule zinafundishaje Silabi? Maana naona hapa "hanaga, zarau, waogeleye" hivi hiki ni kiswahili kweli?
 
Kura nyingi tutazitoa chato.plz walioko chato tupieni tupicha
 
Nilipita hapo Geita jana mtaa wa soko kuu niliona watu wengi sana wamezingira bango la UKAWA lililokuwa limeandikwa LOWASA TUSAIDIE SISI WACHIMBAJI WADOGOWADOGO. Kwa sasa niko hapa Chato rais anatarajiwa mchana lakini mji umeshazizima. Nimelala Geita pia kulikuwa na mkesha wa Lowasa uwanja wa MAGEREZA.

mkuu kazi ikianza tupia tupicha hilo ni tukia la ki historia magamba wanasubiri itakuwaje
 
Watu wa chato hawana ubaguzi kama wale wa kiskazini. Watampokea na kumskiliza. Watu hawa si wale wanabaguana hata huko kwao jijini arusha kwa kuitana Arusha Asili na Arushamoshi. Hii tabia ya watu wa chato inanipa Tumaini kuwa Magufuli atawatumikia watanzania wote bila kuwabagua.

Chato hapa Lowasa Lowasa daaaaah
 
hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NA KINA WEMA?????


MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.

LOWASSA ni habari nyingine.

Hata kampeni za kupunguza maambukizi ya HIV wanatumia wasanii kuwavuta pale ili wapate elimu ya Afya na mwisho wa siku watu wanapata elimu. Saizi kila mtu anajua UKIMWI ni nini.
 
Back
Top Bottom