MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
Yes nimeongea na jamaa yangu ambaye maskani yake ni Chato kanitaarifu tangu saa 6 mchana mji wa Chato ni shamrashamra na mpaka muda huu 9:44nLowasa bado hajaingia Chato mjini.
Watu wamehamasika sana na mabadiriko ila mtonyaji kaniambia kuteuliwa kwa Magufuli kuwa mgombea kumepungaza sana kura za CHADEMA huko Chato otherwise Peoplessss wapo wengi sana huko.
Watu wamehamasika sana na mabadiriko ila mtonyaji kaniambia kuteuliwa kwa Magufuli kuwa mgombea kumepungaza sana kura za CHADEMA huko Chato otherwise Peoplessss wapo wengi sana huko.
