Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Nawataka wana Chato waende kwa wingi wakaujaze uwanja wa mkutano tena wa madhehebu yoote!Ili kumuonyesha kuwa Chato hakuna ukanda wala udhehebu! Kura kwa Magufuli kwani tunamuamini
"Hapa kazi tu"

Ungejua chato Magufuli hapendwi usingesema hayo
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM
 
Mji wa Chato muda huu umesimama. Lowasa hajafika bado yupo uahirombo wilaya ya bukombe anamwaga Sera ila uwanja wa chato hapa umefurika vibaya na mitaani hakutamaniki. Vituko vinavyoshuhudiwa hapa ni pale Shule za hapa mjini walimu walitawanyika tangu saa tano wakionekana viwanjani na pia ofisi za halmashauri milango mingi ilifungwa tangu saa tano huki wafanyakaz wakionekana uwanjani. Chopa ya Lowasa bado haijafika hapa chato ila tayari uwanja umetapika maelfu ya wanachato wamepagawa. Hapa ni kwao na magufuli ila hutaamini kwa wingi huu wa watu. Akina mama ni wengi mno na vijana hawahesabiki. Kwa kweli wanachato wameamua. Lowasa ni taasisi na hakuna namna ya kumsimamiaha tena.
Hao walishamkataa magufuli tangu uchaguzi wa serikali za mitaa hao ni chadema damu
 
Mji wa Chato muda huu umesimama. Lowasa hajafika bado yupo uahirombo wilaya ya bukombe anamwaga Sera ila uwanja wa chato hapa umefurika vibaya na mitaani hakutamaniki. Vituko vinavyoshuhudiwa hapa ni pale Shule za hapa mjini walimu walitawanyika tangu saa tano wakionekana viwanjani na pia ofisi za halmashauri milango mingi ilifungwa tangu saa tano huki wafanyakaz wakionekana uwanjani. Chopa ya Lowasa bado haijafika hapa chato ila tayari uwanja umetapika maelfu ya wanachato wamepagawa. Hapa ni kwao na magufuli ila hutaamini kwa wingi huu wa watu. Akina mama ni wengi mno na vijana hawahesabiki. Kwa kweli wanachato wameamua. Lowasa ni taasisi na hakuna namna ya kumsimamiaha tena.

Hahaaaa lowasa ndio habari kwa sasa na baadae ccm ndio baaasi tena.
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM


teh teh. MFA maji wewe!
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM

Inafurahisha kwamba mupo kwenye defensive kibwagizo cha Lema mumekirithi kwa raaha zenu na bado 25th October mujizike
 
Mabadaliko haya hakuna wakuyazuia.Lowassa Ikulu ni yako na Tanzania mpya yenye asali na maziwa ni October

mwishoni
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM

Unaumia kusikia hivyo?nyie si mbele kwa mbele mbaandika lakini.....
 
mkuu leo hapa ilikuwa ni shidah!! magufual akija ajipangee vzr mana hali mbaya hata kwa mbunge wake
 
Mji umesimama?? mkuu acha uongo bwana, watanzania wanapenda maigizo wamekuja kuangalia maigizo ya Ukawa bure, kiingilio miguu yao, kura CCM

1442410049048.jpg
 
Back
Top Bottom