Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sehemu ninayotokea mabasi,maroli,matrekta n.k. yote huwa tunaita magari,helikopta, chopa ,fastjet,parachuti n.k. huwa zote tunaziita ndege
Huyu fisadi hana jipya atazomewa kila sehemu hafai ni fisadi tu.
Ndo hapo serikali ya ccm ilipotufikisha
Yaani nchi tumkabidhi fisadi!!hapana haiwezekani
Yaani nchi tumkabidhi fisadi!!hapana haiwezekani
Hapo sasa unaona eneo hili wanataka wakajazane kuliko wale wa eneo lile yaani umekuwa mchezo wa sisi tunampenda zaidi nipe mahaba ha haKwa hali kama hii Ni bora lowasa asimamishe mikutano ya kampeni kuanzia Leo asubiri kuapishwa tu maana kila anapotia mguu anasababisha mafuriko
Chato hakuna ngome ya Magufuli ni ngome ya CHADEMA uliza uchaguzi S/Mitaa 2014 matokeo yalikuwaje?
melody imebuma kabla hujaimba mumepata aibu chama cha mashetani na kabila la mafisadi CCMNawataka wana Chato waende kwa wingi wakaujaze uwanja wa mkutano tena wa madhehebu yoote!Ili kumuonyesha kuwa Chato hakuna ukanda wala udhehebu! Kura kwa Magufuli kwani tunamuamini
"Hapa kazi tu"
umeona eeh! bora tuikabidhi jeshi maana na nidhamu itakuja.
Maeneo ya Lubabangwe kwao magufuli kweupe watu wanaenda kwa Lowassa
Nawataka wana Chato waende kwa wingi wakaujaze uwanja wa mkutano tena wa madhehebu yoote!Ili kumuonyesha kuwa Chato hakuna ukanda wala udhehebu! Kura kwa Magufuli kwani tunamuamini
"Hapa kazi tu"
mbana nasikia aliye wafanya tembo wawe wachache yupo kwenye chama chenu?
ndiyo unajifunza kusoma na kuandika vijana wa ccm ni mazuzu siwepoteza muda kukuelewesha maana wewe ni zuzuHivi siku hizi shule zinafundishaje Silabi? Maana naona hapa "hanaga, zarau, waogeleye" hivi hiki ni kiswahili kweli?