CHATO VIJIJI 22 CHADEMA IKAZOA 20 CCM 2!!!!!!ISHU SIO LOWASSA HAPO CHATO KUNA MTU ANAITWA LUKANIMA NDO KIBOKO YENU CCM maviiiiiiMKUUUU kama upo kichwan mwangu vile namm nlikuwa nascrol chin niandike kitu hiki hiki, na hyo ndo tofaut kubwa WaTz inatupasa tuangalieeeee... viva Dr JPJM.
View attachment 287549chato wameamua
Hii sasa sifa yaani mnamchapa mzee wa kukariri barabara nyumbani kwake.
umemmaliza kisomi sana , asante sana mkuu .Hii ni keyboard writting na sio Handwrittings Hatuwezi Kufanana Mwandiko. Mie simjui huyu Chine be....
ununuzi wa binadamu ni biashara inayopingwa dunia nzima .
na huko ni nyumbani kwao na makufuli. Rais lowassa kweli anakubalika
Mungu wa mbinguni akuepushe na vitu vyenye ncha kali .Wakuu salama...
Hii ni Chato tu, na sio Geita mjini...
jamani ccm tuna hali mbaya.
we can't fight them, let's join them jamani mweee.
Siku makufuli akienda Mondoli... Nasubiri nione😀
Nilidhanigi ma wewe una msimamo!
Pale nyuma kidogo naona bendera ya ccm vip tena
Pale nyuma kidogo naona bendera ya ccm vip tena
Team lowasa @ work. Sasa unasubir nini fwatwa mashabiki picha imekutisha... Utashangaa oct25
hahaha tedywite unanifurahisha sana, ila ushauri wangu, angalia unapoona panakufaa! kama ni ukawa its ok, kama ni ccm sawa au kama ni act sawa pia.