Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

MKUUUU kama upo kichwan mwangu vile namm nlikuwa nascrol chin niandike kitu hiki hiki, na hyo ndo tofaut kubwa WaTz inatupasa tuangalieeeee... viva Dr JPJM.
CHATO VIJIJI 22 CHADEMA IKAZOA 20 CCM 2!!!!!!ISHU SIO LOWASSA HAPO CHATO KUNA MTU ANAITWA LUKANIMA NDO KIBOKO YENU CCM maviiiiii
 
na huko ni nyumbani kwao na makufuli. Rais lowassa kweli anakubalika
 
Siku makufuli akienda Mondoli... Nasubiri nione😀
 
na huko ni nyumbani kwao na makufuli. Rais lowassa kweli anakubalika

Magufuli kaingia kwenye kugombea urais kipindi kibaya. Nafasi yake ilichukuliwa baada ya Mkapa kutoka.
 
Ccm wajiandae kwa mawili kushinda au kushindwa ili nchi ibaki salama.
 
hahaha tedywite unanifurahisha sana, ila ushauri wangu, angalia unapoona panakufaa! kama ni ukawa its ok, kama ni ccm sawa au kama ni act sawa pia.

Kwa sasa habari ya mujini ni ukawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…