Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Bora Mimi Matope Yangu Yapo Kimaandishi ILA Wewe Ubongo Wako Wote Umefichwa Ndani Ya Matope Tena Yenye Taka Za Kila Aina Na Zinazonuka.
Unajidhalilisha wacha matusi wewe gamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Mimi Matope Yangu Yapo Kimaandishi ILA Wewe Ubongo Wako Wote Umefichwa Ndani Ya Matope Tena Yenye Taka Za Kila Aina Na Zinazonuka.
Wanaangalia wasanii tu.kawaida zetu hawajavutwa na sera hapo ujue.
na hapo hakuna fiester wala malori
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???
Nalekowela! Alehale omnabholandi?
hahahaha ukawa katika ubora wako, ila unajifanya mwanaccm!!
Muhindo propaganda zako peleka vunjo tangulini umekuwa msemaji watu sisi watanzani sema mashabiki tumeamua sio watanzania tumeamua. nyie amuaeni kivyenu na sisi tutaamua kivyetu hapa
"Hapa Kazi tu"
Mwaka huu tutaheshimiana tu...maramana hakuna jinsi...eeh tumechoka sasa...​CCMOUTPicha hazipigi kura, jifunze
Yule kokoro wa CCM hapo Chato hawataki hata kumsikia.. Sababu kubwa ni ushirikina wake.. Kofuli ni mshirikina aliyekubuhu, na wala hana time na Chato yake.. Hapo hata Ubunge angepigwa chini mwaka huu kama vile alivyopita kwa mbinde 2010
Ndio ushangae hapo ni mgombea hajafika na nyomi ndio hiyo
Na wewe tukuulize picha za Magufuli ni za nini humu JF?Jamaa yupo busy kupost picha utadhani ndio zinapiga kura.
Edo ni habari nyingine yule.jamaa alijipanga sio mchezo.Kampeni zake.ni hatari ni mzee wa mipango balaaa.Amini usiamini CCM inakufa aiseee