Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Hivi Magufuli amashaweka sawa kati yake na mke wake? Kama nyumba yake imemshinda ndio ataweza kuongoza taifa. Tafakari, chukua hatua

Magufuli ananuka njaa kuanzia utosini mwa kichwa mpaka kwenye nyayo za miguu, watz hatutakubali kuongozwa na msakatonge na Lofa kama magufuli, Lowasa pekee anatosha. LOWASSA hoyeeeeeeee!
 
Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.

Hahahahahahaha ngoja nicheke kidogo kwamba tulizidiwa Jangwani na Morogoro hahahahaha nicheke tena....

Yaani nyie pamoja na kutumia wasanii, rais kuwepo, watu kusombwa lakini hamuwezi kufikia nyomi ya Ukawa...

Kwa Tabora watu walisombwa kutoka kila kona...
 
Picha hazipigi kura, jifunze

Mkuu hao wanaonekana ktk Picture, kwann wasije kupiga kura hapo 25th Oct?
Mkuu punguza wivu usiojenga zaid ya kujiumiza nafsin mwako....

Mwaka wa mabadiliko ya chama!
Chama kipya kushika dola kilete mambo mapya!!
 
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???

Hilo swali kaulize kwenye mikutano ya kampeni ya Magufuli.sisi tuna uhakika Lowasa ndie atakaetuvusha kutoka kwenye mikono ya shetani wa kijani.
 
Harafu kuna mapimbi yanaeneza propaganda eti changueni Msukuma mwenzenu kwamba hata ukiwa na shida ni rahisi kwenda chato na kumweleza!!!! Bhanywano bhatale😀😀😀😀

Du hapo kwenye kilugha umemaliza. Toa tafsiri tucheke.
 
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???

Mikutano ya kampeni sio sawa sawa na mashine ya kusaga unga wa mahindi ambayo ukiingiza mahindi ndani ya dk chache unapata matokeo ya unga. Unapo uliza swali la watu kuelewa labda ni kuhahikishie hilo kwamba majibu yake utayapata October mwaka huu.
Mna uhakika kua watawapigia kura? Kama kungekuwa hakuna uhakika kusinge kuwa na haja ya kuendelea kupoteza muda na rasilimali za nchi katika kufanya mikutano ya kampeni. Uhakika upo na UKAWA ITASHINDA. Swali lingine please....!!!!
 
Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.

Kuwa tu fair kwamba yeyote asingetegemea umati huu nyumbani kwa mgombea na pia umeweka uongo mwingi hasa kwa jangwani. Halafu kubali mambo ya kusombelea na wasanii wakubwa yamezoeleka sana ccm tofauti na ukawa. Umeandika tu hivi kujifariji ila ukweli uko moyoni kwako kuwa hata wewe unaishangaa chato na lowassa
 
Lowassa you are just a damn president of this Republic, no way out!
 
Umemaliza Kila Kitu Mkuu Asipokuelewa Anafanya Makusudi Tu. Asidhani Kuwa Wote Hapo Ni Watu Wa UKAWA Kwani Kuna Matahaira Vile Vile Wasioweza Kupiga Hata Kura Lakini Kama Haitoshi Na Kuna Wasiojiandikisha Kupiga Kura Na Kwa Kumalizia Tu Kuna Wengine Ambao Hujitokeza Kuja Tu Kuwaangalia Hao MAFISADI Na MAJIZI ( Lowassa Na Sumaye ) Ya Tanzania Yalivyo Ili Siku Ya Kupiga Kura Wawachinje Vizuri Na Wampigie Kura MZALENDO Na KIPENZI Cha Watanzania Wanaojitambua Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Magufuli ni Television,remote anayo Kikwete,Magufuli ni kufuli,funguo anazo Lowassa!!Tumevunja kitasa,tumefungua kufuri,kazi iliyobaki ni kumwaga pombe zote!!Lowassa anatosha.
 
Watu wanaenda kushangaa jizi.Hv kwa akili zenu mnadhani hata Chato mtapata kura??You must be crazy guys.

Unathubutu hata wewe kuongea neno kama hilo.unajipa matumaini lakini vinyesi vinagonga vyupi.
 
Watu wa chato hawana ubaguzi kama wale wa kiskazini. Watampokea na kumskiliza. Watu hawa si wale wanabaguana hata huko kwao jijini arusha kwa kuitana Arusha Asili na Arushamoshi. Hii tabia ya watu wa chato inanipa Tumaini kuwa Magufuli atawatumikia watanzania wote bila kuwabagua.

MKUUUU kama upo kichwan mwangu vile namm nlikuwa nascrol chin niandike kitu hiki hiki, na hyo ndo tofaut kubwa WaTz inatupasa tuangalieeeee... viva Dr JPJM.
 
Umemaliza Kila Kitu Mkuu Asipokuelewa Anafanya Makusudi Tu. Asidhani Kuwa Wote Hapo Ni Watu Wa UKAWA Kwani Kuna Matahaira Vile Vile Wasioweza Kupiga Hata Kura Lakini Kama Haitoshi Na Kuna Wasiojiandikisha Kupiga Kura Na Kwa Kumalizia Tu Kuna Wengine Ambao Hujitokeza Kuja Tu Kuwaangalia Hao MAFISADI Na MAJIZI ( Lowassa Na Sumaye ) Ya Tanzania Yalivyo Ili Siku Ya Kupiga Kura Wawachinje Vizuri Na Wampigie Kura MZALENDO Na KIPENZI Cha Watanzania Wanaojitambua Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
JAMANI MBONA MIKUTANO YENU INAJAAGA TU!!!!!NAO HUWA WANAKUJA KUSHA NGAA THEN WAMPIGIE LOWASSA?SURA MBOVU KWA KINYONGO UTAKUFA NA CHUKI pyeeee
 
Amiiinaaaaa Amiiinaaaa

Mkuu kuna kitu UKAWA lazima wafenye hasa kuhusu kurugenzi ya kampeni za mgombea urais, sisiem wanapata civarage kubwa sana hasa wanaporusha mikutano yao live ambapo huweza kuongeza/kuvutia wapiga kura ambao sio diehard kwao,kuoneshwa kwa mikutano yao live inafanya kwa njiamoja au nyingine kuonekana UKAWA ulikuwa moto wa mabua kitu ambacho kwa wapigakura watz wanaweza kubadili mitazamo yao. Nini wafanye?

1. Tunajua ni gharama kubwa kurusha matangazo live, lakini si kubwa ukilinganisha matamanio yao kuingia ikulu. ni LAZIMA WALAU KWA WIKI MKUTANO MMOJA WA MGOMBEA URUSHWE LIVE.

2. UKAWA wanachelewa sana kujibu mashambulizi ya kipuuzi na ya kipropaganda ya sisiem. inawachukua zaidi ya wiki kujibu, ni vema wakawa wanajibu soon tu upuuzi unapotolewa na sisiem, angalia ccm wao kombora la jana usiku la Mbatialimejibiwa mapema leo mchana!

3.Kama kunauwezakano wagawane makundi ya kushambulia kwa kuroa sera na sio kuwaaxhia tim iliyo chini ya mgombea urais tu.

4. Kitengo cha media kipo very slow na hakifanyi kazi kwa standard kulinganisha na wenzao wa ccm (usichukie kwa kuwalinganisha) hakikisheni wanakuwa active hasa katika mablog, magroup ya watsup insta na fb.
 
Back
Top Bottom