hahaha tedywite unanifurahisha sana, ila ushauri wangu, angalia unapoona panakufaa! kama ni ukawa its ok, kama ni ccm sawa au kama ni act sawa pia.
Wacha iwafilie mbali wakajipange upya wanadhani hii nchi ni milki yao peke yao? mpaka wamejisahau wamebweteka kwa kuvimbiwa kila unaemuona wa ccm limenenepa hata kujigeuza hawezi kwa sababu ya uroho na ulafi. Wao wanatuambia UKAWA tutaisoma namba, mbona kibao kimewageukia?
Twamalaaaaaaaaah/+
Ni kwamba hawajabebwa na MAFUSO hao, wanania na mabadiliko wameenda kwa usafiri wao wenyewe.
Mikutano ya MAGUFULI kama siyo mambo haya hapa chini hawapati hata watu kumi.
View attachment 287569
View attachment 287570
View attachment 287571
View attachment 287572
View attachment 287584[/nimecheka almanusura kuchana mbavu !CENTER]
umeuliza swali la kimasikini sana ! hivi una sh ngapi mfukoni mwako mpaka muda huu ?Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???
nchi imekwenda mjomba , mmetisha sana watu , sasa mwisho wenu umefika kudadeki !Bora Mimi Matope Yangu Yapo Kimaandishi ILA Wewe Ubongo Wako Wote Umefichwa Ndani Ya Matope Tena Yenye Taka Za Kila Aina Na Zinazonuka.
wachunguzi wa mambo ya uchaguzi wanadokeza kwamba magufuli akifikisha 30% aokoke siku hiyohiyo .Mwaka huu tutaheshimiana tu...maramana hakuna jinsi...eeh tumechoka sasa...​CCMOUT
Hapana,jangwani ukawa walifunika kadhalika na moro,ila tabora naona kama ccm walifunika.Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.
Hahahahahahaha ngoja nicheke kidogo kwamba tulizidiwa Jangwani na Morogoro hahahahaha nicheke tena....
Yaani nyie pamoja na kutumia wasanii, rais kuwepo, watu kusombwa lakini hamuwezi kufikia nyomi ya Ukawa...
Kwa Tabora watu walisombwa kutoka kila kona...
Tulia sindano ikuingie
Mungu akubariki sana .