Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

hahaha tedywite unanifurahisha sana, ila ushauri wangu, angalia unapoona panakufaa! kama ni ukawa its ok, kama ni ccm sawa au kama ni act sawa pia.

Kwa hapo act sijakuelewa kwani ni kitu gani? Au ni aina ya gari?
 

Teeeeeh, teeeeeeh nimefurahi sana leo maana magufuri leo lazima akose usingizi
 
Kuna lijinga linaongea ukanda.acha utoto kama vipi vaa nepi tujue mtoto
 
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???
umeuliza swali la kimasikini sana ! hivi una sh ngapi mfukoni mwako mpaka muda huu ?
 
Siku ya kuapishwa Lowassa tamleta JB Mpiana Papa Cheri na Werra kwa pesa zangu ili Malofa na......tuserebuke.
 

Attachments

  • 1442416813494.jpg
    26 KB · Views: 266
Bora Mimi Matope Yangu Yapo Kimaandishi ILA Wewe Ubongo Wako Wote Umefichwa Ndani Ya Matope Tena Yenye Taka Za Kila Aina Na Zinazonuka.
nchi imekwenda mjomba , mmetisha sana watu , sasa mwisho wenu umefika kudadeki !
 
Hapana,jangwani ukawa walifunika kadhalika na moro,ila tabora naona kama ccm walifunika.
 
wakuu hapa Geita ilikuwa Elnino ya watu mpaka vipaza sauti zimeshindwa kuhimili na mkutano umehairishwa nina vedio kibaao nashindwa kuweka alie na whatsup anipe namba aweke yeye.
 

Na barua za ccm kuamurisha watu wasombwe kuja mkutanoni ziliwekwa humu jf, ccm kwisha, kifo cha mende, ndembe ndembe. To hell ccm
 
Lowasa .ndani ya geita mjini naona kaja kusalimia kaenda pumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…