Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

hahaha tedywite unanifurahisha sana, ila ushauri wangu, angalia unapoona panakufaa! kama ni ukawa its ok, kama ni ccm sawa au kama ni act sawa pia.

Kwa hapo act sijakuelewa kwani ni kitu gani? Au ni aina ya gari?
 
Wacha iwafilie mbali wakajipange upya wanadhani hii nchi ni milki yao peke yao? mpaka wamejisahau wamebweteka kwa kuvimbiwa kila unaemuona wa ccm limenenepa hata kujigeuza hawezi kwa sababu ya uroho na ulafi. Wao wanatuambia UKAWA tutaisoma namba, mbona kibao kimewageukia?

Teeeeeh, teeeeeeh nimefurahi sana leo maana magufuri leo lazima akose usingizi
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php

Sijutii uvumilivu wangu wa kubakia cdn kwa miaka 20 ya mateso na maumivu makali
 
Kuna lijinga linaongea ukanda.acha utoto kama vipi vaa nepi tujue mtoto
 
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???
umeuliza swali la kimasikini sana ! hivi una sh ngapi mfukoni mwako mpaka muda huu ?
 
Siku ya kuapishwa Lowassa tamleta JB Mpiana Papa Cheri na Werra kwa pesa zangu ili Malofa na......tuserebuke.
 

Attachments

  • 1442416813494.jpg
    1442416813494.jpg
    26 KB · Views: 266
Bora Mimi Matope Yangu Yapo Kimaandishi ILA Wewe Ubongo Wako Wote Umefichwa Ndani Ya Matope Tena Yenye Taka Za Kila Aina Na Zinazonuka.
nchi imekwenda mjomba , mmetisha sana watu , sasa mwisho wenu umefika kudadeki !
 
Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.
Hapana,jangwani ukawa walifunika kadhalika na moro,ila tabora naona kama ccm walifunika.
 
wakuu hapa Geita ilikuwa Elnino ya watu mpaka vipaza sauti zimeshindwa kuhimili na mkutano umehairishwa nina vedio kibaao nashindwa kuweka alie na whatsup anipe namba aweke yeye.
 
Hahahahahahaha ngoja nicheke kidogo kwamba tulizidiwa Jangwani na Morogoro hahahahaha nicheke tena....

Yaani nyie pamoja na kutumia wasanii, rais kuwepo, watu kusombwa lakini hamuwezi kufikia nyomi ya Ukawa...

Kwa Tabora watu walisombwa kutoka kila kona...

Na barua za ccm kuamurisha watu wasombwe kuja mkutanoni ziliwekwa humu jf, ccm kwisha, kifo cha mende, ndembe ndembe. To hell ccm
 
Lowasa .ndani ya geita mjini naona kaja kusalimia kaenda pumzika
 
Back
Top Bottom