Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

AZAM tv imewahoji waakazi wa Geita njiani kuhudhuria mkutano wa Lowassa, wote wamekiponda chama cha CCM hasa issue ya maji na wachimbaji wadogo wadogo. Mabadiliko lazima.
 

Ajuwaye mungu kwa mgonjwa kuwa mzima na mzima kuwa mgonjwa na hakuna binadamu anayeijua kesho
 

Yah ccm inatoweka hivi hivi daaah
 
Nyie jamani msipende kudanganywa na maccm, hebu Magufuli aitishe walau mikutano miwili tuu na waambiwe watu hakuta kuwa na wasanii ndio mtauona mziki wake ulivyo mgumu. Mikutano yote ya CCM inaonekana na watu wengi ni kwa vile kuna wasanii basi. Hiyo ndio sababu CCM iko tayari kuwalipa kiwango chochote wasanii ili kuficha aibu.
Hali halisi bila wasanii ni kama hivi
https://www.facebook.com/peter.datti/posts/1667488713467547
 
Alipindisha lami kupeleka nyumbani kwao,walivyo hoji,akawambia kama mnataka lami,tandaza kinyesi barabarani mpite,eneo lile walimnyima kura wakati anagombea ubunge!
 

Mgonjwa wa leo ndio mzima wa kesho,mzima wa leo marehemu wa kesho,jamani nauliza,hivi Mwaisapile alikuwa anatibu maradhi gani?JPM alionekana akipata dozi ya kikombe.
 
Geita mjini ijapo mheshimiwa amefika mda unaelekea kwisha, lakini umati wa wapenda mabadiliko waliokuwa wamekusanyika pale uwanja wa magereza ni hatari kweli alivyosema si mapenzi ni mahaba
 
CCM ikishindwa inabidi wamlaumu mtunzi wa huu wimbo wa CCM ni ile ile. Sasa kama ni ile ile haiwezi kushinda maana matatizo yatakuwa ni yale yale, kweli mwaka huu CCM mtaisoma namba:A S-frusty:
 
Kitu kilichonipa ghadhabu ni kuona watu wa Kigoma mjini wakipiga kelele ya kutaka huduma ya maji yaani sijui lini hali itakua sawa kama mpaka leo huduma muhimu kama maji bado ni kero ya jumla na kila wakija hawa wakoloni weusi wanatoa ahadi wanapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…