Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Hilo sisi halituhusu wala hatuna ubishi nalo. Unaweza kumwacha mkeo mimi nikamuoa na akawa mke bora kabisa labda ulikuwa unanfuja je. Rasi mwaka huu upende usipende ni Lowasa. CCM tumeichokaaa........!!
 
Muelezeni January Makamba na Nape Nnauye wayaone hayo mafuriko nyumbani kwa Magufuli. Kwa kweli nimefurahi na hayo mafuriko kwao Magufuli. Someni ubao wa Buziku. Kama ni kweli hayo maneno hayastahili kutamkwa na mtu mzito kama Magufuli.
 
Geita mjini ijapo mheshimiwa amefika mda unaelekea kwisha, lakini umati wa wapenda mabadiliko waliokuwa wamekusanyika pale uwanja wa magereza ni hatari kweli alivyosema si mapenzi ni mahaba

hakuna wa kumzuia Lowassa kuingia magogoni Oktoba.
 
Lowasa ni mwanga,na kwa kawaida giza haliwezi kushinda mwanga
 
Hatuitaji mtu anayeongea kama kameza cd alafu mwisho wa miaka mitano anaogopa hata kupita mitaa aliyopiga kampeni maana hana alichotekeleza. Uliza meli za ziwa victoria ziko wapi.

Atakuwa ndio rais wa kwanza duniani asiyejua kuongea,yaani mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia hivihivi!!!
 
Picha mkubwa, maneno hayavunji mfupa

hivi ww unafikiri Magufuli anaweza kujaza watu bila DIAMOND, ALLY KIBA, THE COMEDY, YAMOTO BAND, FUTUI NAKINA WEMA?????MAGUFULI ni saiz ya LISSU, ZITTO , JJ MNYIKA.

LOWASSA ni habari nyingine.
 
Kauli za Magufuli kwa Watanzania wenye shida:-

CHATO KWAO:- Kunyeni barabarani msambaze kinyesi kiwe lami!


CHATO KWAO:- Kojoeni mkojo wenu mtumie kama mnashida ya maji.


KIGAMBONI:- Kuvuka kivukoni , pegini mbizi.
 
HILO BANGO KWAMBA,WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI IWE RAMI.dah hatari
 
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.

nawashauri CCM wasitishe kampeni zao wasiendelee kupoteza fedha zao tiyari Rais wa JMT kupitia UKAWA Mhe Lowassa ameshapatikana anasubiri kuapishwa tu.
 
Kama jimboni kwake hakuna maji ilhali serikali ni YAO na wanapendeleana majimbo yao. Kweli sifuri kabisa.

Juzi anaahidi watu wa Tabora kuwa atayafungia maji ya mto Malagarasi na kuyaelekezea bwawani kisha yapelekwe Tabora. Hivi mawazo hayo ya kisiasa yanazingatia kwamba mto ni kitu cha asili na kila unapopita kuna uoto na viumbe hai ambavyo vitakufa ikiwa mkondo wa mto utahamishwa?

Hii ni FUTUHI na mchekeshaji wetu ni WA KUKURUPUKA
 
Atakuwa ndio rais wa kwanza duniani asiyejua kuongea,yaani mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia hivihivi!!!

Kwani huyo anayeyoka hajuo kuongea? Na ndiyo katifikisha hapa. Haya huyo anaepiga kampeni mpaka sasa tarehe ya leo aliyoyasema ahadi zake hawezi kutekeleza. Wa nini sasa. Bora akae kimya tuu maana anaongea sasa kama mpinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…